AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,647
- 4,753
Hivi hii huwanakusudia nini mara nyingi idara za HR ni wakuu wa idara ni wanawake? Kwanini?
Sababu zege ni nzito,mwanamke kaumbiwa vitu laini laini.Kwanini wanaonyanyua zege na ujenzi wengi ni wanaume?
Ukiweka HR mwanaume utajaziwa vijike kwenye kampuni yako, ambavyo vimetafunwa na vitaanza kuzozana kazini kumgombania bosi wao.Hivi hii huwanakusudia nini mara nyingi idara za HR ni wakuu wa idara ni wanawake? Kwanini?
Sababu zisizo na maana kabisa.Majibu yote yanaonesha mwafrika ni mjinga sana
Weeee! Kakudanganya nani nenda kwenye miradi ya serikali yenu ya Malawi uone wanavyowatoa wanaume nishaiSababu zege ni nzito,mwanamke kaumbiwa vitu laini laini.
Hata masekretari, sijui kwa nini!Hivi hii huwanakusudia nini mara nyingi idara za HR ni wakuu wa idara ni wanawake? Kwanini?
Check hapa inaweza kukupa jibu kwann 👇🏽Hata masekretari, sijui kwa nini!
Secretarial position ndo hizo nafasi za ma secretary na hao front desk ndo wale wa reception/mapokezi ukiingia unawaona wengi wanakua wanawake kwasabab hizo nilizozielezaPia sababu nyingine waajili wengi hawataki kuonekana wanaajili wanaume tu katika kampuni. Kwa mfano, katika makampuni mengi, kuna wanaume wengi katika nafasi ya ngazi ya executive level, finance department na technical positions such as IT, engineering, or science. Sasa ili kuweka mzani sawa au kuonesha kuna usawa basi nafasi nyingi za HR na hata secretarial/administrative position na front desk huwapa wanawake.
👍🏽Waajiri wengi wana dhana kwamba wanawake wapo friendly, wakarimu, wastaarabu na wasikivu zaidi kuliko Wanaume na wana huruma sana na pia wasikilizaji wazuri wa matatizo ya watu. Na hii kwa kiasi fulani ni kweli kwa maoni yangu japo sio wote, chukulia hata kwenye familia mama hu deal sana na human resources😁 (watoto na wengineo kama wapo kama housegirl au ndugu au etc) na mahitaji yao kuliko baba, baba kazi yake kuhudumia tu nakupokea report kutoka kwa mama 😊
Pia utafiti unaonyeasha wanawake wapo vizuri sana katika kutatua matatizo yanayohusu watu.
Pia sababu nyingine waajili wengi hawataki kuonekana wanaajili wanaume tu katika kampuni. Kwa mfano, katika makampuni mengi, kuna wanaume wengi katika nafasi ya ngazi ya executive level, finance department na technical positions such as IT, engineering, or science. Sasa ili kuweka mzani sawa au kuonesha kuna usawa basi nafasi nyingi za HR na hata secretarial/administrative position na front desk huwapa wanawake.