Makame Mnyaa Mbarawa in brief

mamanalia

JF-Expert Member
Nov 7, 2009
667
146
Wadau kwa kifupi huyu ndo Prof. Makame Mbarawa. The guy looks really good, ngoja tusubiri huko bungeni, labda atabadili sura ya researches nchini.

Professor Makame Mbarawa is a holder of a MSc Marine Engineering degree (Astrakhan State Technical, University, Astrakhan- Russia, 1992) and PhD of the University of New South Wales, Sydney, Australia (1999). He joined Tshwane University of Technology, Pretoria, South Africa as a Senior Lecturer in the Department of Mechanical Engineering. He was promoted to the position of Associate Professor in October 2005 and finally to that of Full Professor in July 2009. Professor Mbarawa’s research interests are combustion of gaseous, Flue gas desulphurization, Filtration combustion in porous media; Soot formation in laminar diffusion flames; Alternative fuels and Renewable energy resources; and Biomass combustion. Over the years, Professor Mbarawa has published 45 of articles in national and international journals and presented 36 scientific papers in various conferences.

Kama una more info zilete hapa tuweze ku justify uteuzi wa JK.
 
Huyu atakuwa ni opportunist as usual..
Yaani amekuwa professor mwaka jana tuu, tayari mwaka huu amesharukia kwenye siasa na kugombea uwakilishi!!
 
Wadau kwa kifupi huyu ndo Prof. Makame Mbarawa. The guy looks really good, ngoja tusubiri huko bungeni, labda atabadili sura ya researches nchini.

Professor Makame Mbarawa is a holder of a MSc Marine Engineering degree (Astrakhan State Technical, University, Astrakhan- Russia, 1992) and PhD of the University of New South Wales, Sydney, Australia (1999). He joined Tshwane University of Technology, Pretoria, South Africa as a Senior Lecturer in the Department of Mechanical Engineering. He was promoted to the position of Associate Professor in October 2005 and finally to that of Full Professor in July 2009. Professor Mbarawa's research interests are combustion of gaseous, Flue gas desulphurization, Filtration combustion in porous media; Soot formation in laminar diffusion flames; Alternative fuels and Renewable energy resources; and Biomass combustion. Over the years, Professor Mbarawa has published 45 of articles in national and international journals and presented 36 scientific papers in various conferences.

Kama una more info zilete hapa tuweze ku justify uteuzi wa JK.

ni wa chama gani?

sasa msomi kama huyo ndo anamuingiza tena kwenye siasa ili akauteketeze kabisa usimi wake kama akina sarungi na kapuya? dah, japo alitutosa watanzania baada ya kusoma akakimbilia south kuchapa mzigo, lakininasikitikia another wastage of talents
 
Au ndiyo ushawishi na chaguo la Bilal, maana wanatoka eneo moja na profession zao zinalandana..
Anyway, ni maono yangu tuu!!
 
He is CCM.

Though I hate CCM bt I v liked this guy's CV. Congrats to him. tunamkaribisha kwa wapiganaji.
 
Hii habari ya shule inanichanganya sana, sikuhizi watu hawasomi wanadesa tu! jana wabunge wanajinadi wamesoma wana masters wame zurura nje ya nchi vyakutosha lakini wana ulizwa kirefu cha SADEC hawana uwezo wakujibu, SADEC ina jumuisha nchi ngapi Hakuna jibu, Majukumu ya SADEC niyapi hakuna jibu, SADC ilianzishwa nchi gani hakuna jibu. Hawa niwabunge tena wanajinadi kusoma sana na uzoefu wa kuzurura nchi zawatu.Sasa mioni sielewi watu sikuhizi wana somaje na una enda kugombea nafasi ya uwakilishi SADEC wakati hata hujui hicho ni kitugani na majukumu yake ni yapi. Hapo sielewi
 
Hii habari ya shule inanichanganya sana, sikuhizi watu hawasomi wanadesa tu! jana wabunge wanajinadi wamesoma wana masters wame zurura nje ya nchi vyakutosha lakini wana ulizwa kirefu cha SADEC hawana uwezo wakujibu, SADEC ina jumuisha nchi ngapi Hakuna jibu, Majukumu ya SADEC niyapi hakuna jibu, SADC ilianzishwa nchi gani hakuna jibu. Hawa niwabunge tena wanajinadi kusoma sana na uzoefu wa kuzurura nchi zawatu.Sasa mioni sielewi watu sikuhizi wana somaje na una enda kugombea nafasi ya uwakilishi SADEC wakati hata hujui hicho ni kitugani na majukumu yake ni yapi. Hapo sielewi


hivi ni mgombe gani alishindwa kujibu hilo swali??
 
Huyu jamaa anaweza kumdharirisha huyu mzee kwa kumweka kwenye UBUNGE wa CCM usiokuwa natija!
Kama hatapewa uwaziri basi huyu prof. atakuwa amedharirishwa sana na bora aachane na huuuuuu ubunge wa mezani.
Na waheshimu Engineers ni watu wachapakazi sana kabla hawajachakachuliwa na ujinga wa CCM!
 
Hii habari ya shule inanichanganya sana, sikuhizi watu hawasomi wanadesa tu! jana wabunge wanajinadi wamesoma wana masters wame zurura nje ya nchi vyakutosha lakini wana ulizwa kirefu cha SADEC hawana uwezo wakujibu, SADEC ina jumuisha nchi ngapi Hakuna jibu, Majukumu ya SADEC niyapi hakuna jibu, SADC ilianzishwa nchi gani hakuna jibu. Hawa niwabunge tena wanajinadi kusoma sana na uzoefu wa kuzurura nchi zawatu.Sasa mioni sielewi watu sikuhizi wana somaje na una enda kugombea nafasi ya uwakilishi SADEC wakati hata hujui hicho ni kitugani na majukumu yake ni yapi. Hapo sielewi

Mkuu hapa umenivunja mbavu!!
Duh..kama ni hivyo basi hali ni mbaya sana..yaani kwa lugha nyingine tupo ICU..
 
Wadau kwa kifupi huyu ndo Prof. Makame Mbarawa. The guy looks really good, ngoja tusubiri huko bungeni, labda atabadili sura ya researches nchini.

Professor Makame Mbarawa is a holder of a MSc Marine Engineering degree (Astrakhan State Technical, University, Astrakhan- Russia, 1992) and PhD of the University of New South Wales, Sydney, Australia (1999). He joined Tshwane University of Technology, Pretoria, South Africa as a Senior Lecturer in the Department of Mechanical Engineering. He was promoted to the position of Associate Professor in October 2005 and finally to that of Full Professor in July 2009. Professor Mbarawa’s research interests are combustion of gaseous, Flue gas desulphurization, Filtration combustion in porous media; Soot formation in laminar diffusion flames; Alternative fuels and Renewable energy resources; and Biomass combustion. Over the years, Professor Mbarawa has published 45 of articles in national and international journals and presented 36 scientific papers in various conferences.

Kama una more info zilete hapa tuweze ku justify uteuzi wa JK.

Ninamfahamu vizuri tu Prof Mbarawa Tuko naye hapa Tshwane University of Technology (TUT) ni mtu mchapakazi na anaheshimiwa sana wanafunzi wake pamoja na colleagues.

Sula la yeye kuingia kwenye mambo ya siasa siwezi ku-comment kwa sasa, tungoje vimbwanga vyake huko Bungeni.
 
Hii habari ya shule inanichanganya sana, sikuhizi watu hawasomi wanadesa tu! jana wabunge wanajinadi wamesoma wana masters wame zurura nje ya nchi vyakutosha lakini wana ulizwa kirefu cha SADEC hawana uwezo wakujibu, SADEC ina jumuisha nchi ngapi Hakuna jibu, Majukumu ya SADEC niyapi hakuna jibu, SADC ilianzishwa nchi gani hakuna jibu. Hawa niwabunge tena wanajinadi kusoma sana na uzoefu wa kuzurura nchi zawatu.Sasa mioni sielewi watu sikuhizi wana somaje na una enda kugombea nafasi ya uwakilishi SADEC wakati hata hujui hicho ni kitugani na majukumu yake ni yapi. Hapo sielewi

Sasa na wewe mkuu hapo juu kuiita SADEC badala ya SADC tuitaje?

Nafikiri kwa wabunge kugombea bunge la SADC na kushindwa kujibu basic questions about SADC ni tatizo kubwa mno. Inaweza kuwa ni matokeo ya watu wanaotaka kwenda kwenye nafasi sio kwa lengo la kazi bali posho au ni matokeo ya kutundika vyeti ukutani baada ya kumaliza na kusahau shule kabisa.

Hamna excuse kabisa kwa hawa waheshimiwa kushindwa kujibu hayo maswali rahisi wakati uamuzi wa kugombea ulikuwa wao wenyewe.

Waheshimiwa wajifunze angalau namna ya kutumia Wikipedia kwa ajili ya references za haraka haraka.

Hongera prof. kwa kuteuliwa kuwa mbunge.
 
This is missuse of manpower!!!!!!!!! Ndani ya sisiemu utegemee atafanya nini zaidi ya kuwa "ndiyo bwana" Kama huamini ngojea session za bunge zianze kama utamsikia!!!!!!!!! :evil:Tena huyu ndiyo atanywea usiseme!!!! Brain za kazi ziko CDM-jopo la wanasheria tangu Dr.(PHD) wanaosoma between the lines makabrasha yote ya bunge overnight na the following day kulipua mabomu yasiyopelekeka mahakamani!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Pipooooooooooos Pawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaasssssssssss
 
Huyu Prof amepata green pasture atulie ale, asitafute mengi anaweza kukosa yote. Naona kuna hatari ya kumnyang'anya Pombe wizara ya samaki!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nilichogundua usomi au cv kali si tija kwenye siasa kwani kabla yake wapo maprofesa tuliowategemea kuleta maendeleo kwa wananchi wameishia mitini nakuanzisha miradi yao, CV kali au UPRROFESA wenye maana ni ule unaowasaidia unaowatumikia (wananchi),
Hawa wasomi wa enzi za Nyerere wanaanza kunitia wasiwasi....Tutafanya research kuona wale wa enzi za Nyerere na wasikuhizi niwakina nani wana tija,maana ndio tulipofkia sasa kupima usomi na uwajibikaji
 
MAANDALIZI YA MGOMBEA URAIS 2015 TOKA ZNZ.
CCM Hawapati pa kupumulia; ni mitego baada ya MITEGO.
Wamewatumia Wa-ZNZ kuongoza SHURUTI la Kumng'oa Six, WAKAFANIKIWA. Waliowatumia wa-ZNZ ni kambi ya wale wanaoutaka Urais 2015 kwa udi na uvumba. Sasa ghafla na Wa-ZNZ wanaanza kushurutisha kwa mtindo ule ule wa VITISHO wanataka WAANDALIWE MTU wa Kumrithi JK. Hii inatookana na utaratibu usio rasmi ambao 2015 ni Zamu ya ZNZ lakini pia ni SIYO zamu ya MWISLAMU
 
Jamani huyu amuoni kuwa tayari ni waziri! Siyo huyu tu, hata hao wengine wawili alioteuliwa nao kuingia bungeni. Bila shaka kesho itakuwa zamu ya wateule wa Tanzania bara watakao ukwea uwaziri.
 
....du, angekuja kwenye vyuo vidogo eg.DIT akawapa watoto elimu, ningefurahi.

NIMENUNA KUSKIA KARUDI BONGO AWE MBUNGE, STUPID CCM!
 
Huyu jamaa akipewa uwaziri wa nishati na madini anaweza kutusadia, hasa katika sector ya nishati mbadala. Akibaki kuwa mbunge tu ni matumizi mabaya ya mtaalamu may be CCM wanamikakati ya 2015.
 
Jamaa ni msomi (moja ya recent paper zake attached) lakini ndani ya CCM kila kitu ni ndiyo mzee na huo ndiyo mwisho wa uacademia wake. Soon atakuwa kama Mukandala na wasomi wengine wa hivyo

Mkuu,
mimi namshangaa, ndiyo sababu nimem-brand kama opportunist anae elekea kuwa looser.. Nadhani alihitaji muda zaidi kwenye profession yake..Jamani, sometimes, profession ina raha zake.
Amejitosa kwenye kinyanganyiro cha uwakilishi kwao Pemba--wamemtosa--Sasa amekumbukwa, anaenda kuwa chini ya command ya akina Makamba et al. Makamba na publications wapi na wapi!! huko hakuna hayo--muhimu kwao ni majungu, uongo, uzandiki, uchakachuaji, umafia, na yanayofanana na hayo!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom