Makambako wazindua uwanja wa salum mwalim

Makambako wazindua uwanja wa salum mwalim

Ungeuza mandazi tu halafu mwenzako auze karanga mengine hamyawezi kamwe.

Simiyu husijiaibishe kwani huyo unaye mfanyia hayo ni binadamu kama wewe na ujue tukiamua kukushushia matusi na kejeri utahama humu jf,heshima ni kitu cha bure.
 
Utaratibu wa kuvipa majina Viwanja ama mitaa huwa mikononi mwa Wananchi kupitia Mamlaka husika ili kuhuisha majina hayo katika matumizi rasmi kesheria na kitaratibu. Na wasiwasi kama mfumo huu utaendelea kwa "kupoka" majina ya maeneo na kuwapa "first time" Wanasiasa tena wasio na "legacy" yoyote. Hizi ni fujo na ni sawa na "uhaini" wa kimapinduzi hasa katika nchi huru, ya kizalendo na yenye Mamlaka kamili kama Tanzania.

Wafuasi ama Wanachama wa vyama vya siasa ni wachache sana kuliko Wananchi ama Wapiga kura. Hivi inakuwaje uchache huu, tena wa kikundi cha watu wenye itikadi moja kuiamulia jamii. Hii ndio demokrasia tunayoitaka? Je! TLP Jogoo, kesho wakiuita uwanja huo kama Augostino Lyatonga Mrema mtasemaje?

Acheni kuwachanganya wananchi kwa "mihemko" ya kisiasa, pia zingatieni taratibu.
 
Update s

Nassari anawapiga makavu polisi, anasema polisi hawajielewi wanakubali kila amri wanayopewa na watawala na pia amewaomba wananchi wawasamehe bure
 
Anasema pia watu wa makambako wasikubali kuyumbishwa, bila CHADEMA wasingesikia habari za to EPA WA RICHMOND WALA ESCROW WALA UHARIBIFU WOWOTE UNAOENDELEA NCHI HII.
 
Safi sana ..wakiziba hapa tunatokea kule.
 
attachment.php
attachment.php
 
Utaratibu wa kuvipa majina Viwanja ama mitaa huwa mikononi mwa Wananchi kupitia Mamlaka husika ili kuhuisha majina hayo katika matumizi rasmi kesheria na kitaratibu. Na wasiwasi kama mfumo huu utaendelea kwa "kupoka" majina ya maeneo na kuwapa "first time" Wanasiasa tena wasio na "legacy" yoyote. Hizi ni fujo na ni sawa na "uhaini" wa kimapinduzi hasa katika nchi huru, ya kizalendo na yenye Mamlaka kamili kama Tanzania.

Wafuasi ama Wanachama wa vyama vya siasa ni wachache sana kuliko Wananchi ama Wapiga kura. Hivi inakuwaje uchache huu, tena wa kikundi cha watu wenye itikadi moja kuiamulia jamii. Hii ndio demokrasia tunayoitaka? Je! TLP Jogoo, kesho wakiuita uwanja huo kama Augostino Lyatonga Mrema mtasemaje?

Acheni kuwachanganya wananchi kwa "mihemko" ya kisiasa, pia zingatieni taratibu.

Ndio ishatokea sasa kwa cdm
 
Eti na wewe binadamu hasara kweli!

Mkuu acha kashfa na dharau,utamwitaje binadamu mwenzako hivyo?Hivi nyie ccm mkoje?Mtaacha lini roho mbaya?Ndio maana kwenu Ni kitu cha kawaida kuteka watu,kuwang'oa na kucha na wengine kuwaua kisa Tu madaraka.Pum.b.avu kabisa nyie,stupid
 
Duh, kwa tanzania usipokomaa huwezi fanya siasa za upinzani kamwe! Polis ni tawi la chama tawala' mizengwe ni mingi sana!
 
Back
Top Bottom