Makambako wazindua uwanja wa salum mwalim

Makambako wazindua uwanja wa salum mwalim

Rose Mayemba

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2012
Posts
721
Reaction score
1,017
Ni baada ya OCD wa mamlaka ya mji wa makambako kuzuia kwa hila mkutano wa naibu katibu Mkuu kufanyika katikaZanzibari Salum Mwalim viwanja vilivyozoeleka mara zote (viwanja vya polisi)na kuupeleka pembeni ya mji ili kuhakikisha watu hawahudhurii kwa wingi


Kwa BAHATI mbaya sana wananchi hawakujali hilo na walifurika kwa wingi kumsikiliza kiongozi huyu wa CHADEMA.

Ndipo wananchi wa makambako wakabariki viwanja hivyo( vya azimio) kuanza kutumik akwa mikutano ya kisiasa ya CHADEMA na kubatiza jina la viwanja vya Salum Mwalim.

Mkutano huu pia utahutubiwa na Dogo
Janja kutokq jimbo la Arumeru mashariki mhe Joshua Nassar pamoja na kasambala ambaye ni mjumbe baraza kuu la chama taifa kwa ticket ya vijana
attachment.php

attachment.php
 
Rose tumwangie picha makitu ccm yajinyonge na shart la le mutuz

swissme
 
Ni baada ya OCD wa mamlaka ya mji wa makambako kuzuia kwa hila mkutano wa naibu katibu Mkuu kufanyika katika viwanja vilivyozoeleka mara zote na kuupeleka pembeni ya mji ili kuhakikisha watu hawahudhurii kwa wingi


Kwa BAHATI mbaya sana wananchi hawakujali hilo na walifurika kwa wingi kumsikiliza kiongozi huyu wa CHADEMA.
Eti na wewe binadamu hasara kweli!
 
Rose toka lini umekuwa kurugenzi ya habar? acha kiherehere kama mke wa balozi
 
Jah people anapendwa sana makambako,ametandaza lami mji mzima
 
Salum Mwalimu atafika mbali sana ni mwanasiasa anayejituma ana uwezo wa kujenga hoja na kulimudu jukwaa.
 
Back
Top Bottom