Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,099
Hakuna kutoa sadaka wala nini. Kwa nini mtu wa chini alipe kodi halafu walio juu wasilipe?
Huyu bwana wa ajabu. Wabunge wamejitoa sadaka kwa kukubali kukatwa kodi wakati wananchi wa kawaida wanakatwa miaka yote!!!. Sasa na zile posho pia walipe kodiKumbe kutimiza maaelekezo na maagizo ya mamlaka ni kujitoa sadaka!
Si wajitoe sadaka na kwenye posho ya kikao ambayo kwa mujibu wa ZZK anasema ni wizi wa waziwazi.