bibikuku
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 832
- 496
Jamani wana jamvi naomba tujadili kuhusu mpambano baina ya katibu mkuu wa CCM Yusuph Makamba na ShyRose Bhanji juu ya kauli ya kada huyo (ShyRose) kuwa viongozi wa juu CCM kujisababishia nguko lao wakati wa uchaguzi mkuu katika majimbo kadhaa yaliyozolewa na upinzani kauli ambayo Makamba akaikana na kumvaa ShyRose mkutanoni.
Kana kwamba haitoshi nini maana ya LUNCH ya sh 50,000/- iliyotolewa na mbunge wa viti maalum Arusha Catherine Magige kwa wajumbe wa baraza hilo wanaokutana Dodoma. Je hii ni rushwa? Ina Mkono wa mtu ukizingatia mbunge huyo katoka Arusha??? Ama ina agenda nyuma yake???
Tujadili haya kwa mustakhabali wa Tanzania yetu.
Source: Mwananchi Jumapili 20 machi 2011
Baraza Kuu UVCCM lawaka moto Dodoma
Kana kwamba haitoshi nini maana ya LUNCH ya sh 50,000/- iliyotolewa na mbunge wa viti maalum Arusha Catherine Magige kwa wajumbe wa baraza hilo wanaokutana Dodoma. Je hii ni rushwa? Ina Mkono wa mtu ukizingatia mbunge huyo katoka Arusha??? Ama ina agenda nyuma yake???
Tujadili haya kwa mustakhabali wa Tanzania yetu.
Source: Mwananchi Jumapili 20 machi 2011
Baraza Kuu UVCCM lawaka moto Dodoma