Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,803
- 71,229
Nishati imeshaonekana ni wizara ngumu na yenye changamoto nyingi sana kuzimudu ndio maana January Makamba kiuhakika alishindwa kuimudu.
Sasa wizara hiyo amepewa Dotto Biteko, lakini pamoja na ugumu wa wizara hiyo bado kapewa jukumu lingine la kuwa Naibu Waziri mkuu atakayeratibu shughuli za serikali.
Hakika kazi zote hizo ni shughuli pevu, jee Biteko ataweza kweli?
Na huku kwenye Nishati kuliko mshinda Makamba kutapataje ahueni kama sio kuanza kuwa nchi ya giza kama kawa?
Mie nadhani wahusika wamekurupuka tuu katika hili.
Sasa wizara hiyo amepewa Dotto Biteko, lakini pamoja na ugumu wa wizara hiyo bado kapewa jukumu lingine la kuwa Naibu Waziri mkuu atakayeratibu shughuli za serikali.
Hakika kazi zote hizo ni shughuli pevu, jee Biteko ataweza kweli?
Na huku kwenye Nishati kuliko mshinda Makamba kutapataje ahueni kama sio kuanza kuwa nchi ya giza kama kawa?
Mie nadhani wahusika wamekurupuka tuu katika hili.