Makamba atakuwa nani??

Makamba atakuwa nani??

Atulie kama wenzake kina Mangula akalime mashamba huko Lushoto. Kwanza ana fedha nyingi aanzishe miradi yake na kuisimamia mbona kina Mahita wanaweza kuishi?
 
acheni uzushi, atapewa nafasi nyeti sana - Chief Political Advisor to the Chairman and President. Subirini kusikia/kuona matapishi yatakayomtoka ndipo mtaamini.
 
sintoshangaa akapewa ubalozi wa kudumu huyu mzee tena atapelekwa Kenya au Malawi hata Uganda kwani lugha haipandi hawezi pelekwa nje ya hapo.mmesahau katoka kule UUUUUSSSSSSSHOOOOOOOOOOTO??????MGOSI NA MAMBO YA KITAALAMU.
 
arudi kufundisha somo ya siasa shule za msingi, asaidie kuwapa wanafunzi ukweli wa siasa na experience yake
Wewe kweli huwatakii mema watoto wetu wa kike, unajua kilichomkimbiza awali alipokuwa mwalimu mkuu?
 
WANAFKI TU HAWA CCM....... TUNAJUA HATA AKIVUA GAMBA NYOKA HAWEZI KUWA SAMAKI


najua walowekwa watawalinda walotoka ili KANUNI ZAO ZA KIFISADI ZIDUMU :Cry:
 
Kwani kuna watu ambao wanatakiwa kufanya kazi hadi wafie kazini? Umri wa kustaafu kisheria ni miaka 60 na tayari Mzee Makamba alishafikisha huo umri

Katika ccm mpaka uweunajiburuta kama mkia ndo wanaona umezeeka!! Kingunge alikuwa akienda kulala dodoma mjengoni!!anamiaka mingapi??
 
Atakuwa mwenyekiti kamati ya ndumba na uchawi ya JK. Kwani yeye ndiye kiungo muhimu kati ya Mzee Mohamed Mbega wa Bumbuli ambaye ndiye mganga mkuu wa JK.
 
E bwana ee, Makamba akapumzike tu nyumbani lakini tusimwangalie kama mstaafu..................maana si kashindwa kazi???
Tumwite mheshimiwa mjiuzulu makamba..
Akalime tu bwana sasa atafanya nini?? Au labda wenye kutaka kumwajiri mwiteni........si vibaya kama mnaona atawafaa.:disapointed:na makamba.
 
Siasa za BONGO hakuna umri wa kustaafu! Ni kama NDOA; HADI KIFO KIKUTENGANISHE NA UANASIASA🙂
 
Huyu babu sasa atafanya kazi gani??Maana sioni wapi pakumuweka angalau amalizie siku zake zakuishi!!:doh::noidea:

Alipo Phillip Mangula ndipo ataelekea Makamba, kumpa ukuu wa mkoa ni demotion ambayo itamfanya adharauliwe mpaka na vibaka wanaovizia kukaba watu vichochoroni. Heshima pekee ni kuwa katibu mkuu mstaafu basi.
 
Kafungiwa duniani na mbinguni ...afanye shughuli mbali na siasa
 
Huyu babu sasa atafanya kazi gani??Maana sioni wapi pakumuweka angalau amalizie siku zake zakuishi!!:doh::noidea:

JK hawezi kumtupa swahiba wake wakuu wa mikoa bado hajapangua
 
Huyu atakuwa kama Bob Makani,Edwin Mtei,Philip Mang'ula na wengineo wa aina hiyo.
 
Back
Top Bottom