Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Move ya CDM bado naiona ni nzuri tuu, Alichokifanya Mbowe ni kizuri sana maana mambo yakishindikana na ya kurudi kwenye nguvu ya Umma CDM haina lawama kwani imeshaomba mambo haya yajadiliwe mezani lakini wakapuuzwa hivyo wameyapelaka kwa wapiga kura walioibiwa ili wachukue hatua wenyewe.
Kuhusu kuwafukuza Bungeni wabunge wa CDM, kosa hilo CCM hata kama mara nyingi hawatumii akili kwenye maamuzi hawawezi kulifanya. Kumbukumbu ya Kumfungia Zitto kisha mashtaka yakapelekwa kwa wananchi bado wanayo. Maana kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hii, ndipo iliposhuhudiwa Mawaziri na viongozi wakizomewa hadharani,misafara yao ikitupiwa mawe hadi ule wa Rais na nguvu ya CDM ikipata kasi zaidi.
Mie nafikiri Mbowe na CDM wanajua CCM ilivyo na walifahamu jeuri ya CCM na kuwa tamko lao la kutaka kukaa meza moja LITAKATALIWA ,ila wamelitoa maksudi ile kukwepa lawama hapo baadae kuwa hawakutaka majadiliano na serikali.
Now CHADEMA, plan A succeded, move to plan B, mwagikeni uraiani muwaeleze wananchi jinsi walivyo ibiwa uhuru wao wa kuchagua viongozi, wizi ambao ni mbaya sana kuliko aliyevunja nyumba na kukuibia RADIO NA NGUO.
Kuhusu kuwafukuza Bungeni wabunge wa CDM, kosa hilo CCM hata kama mara nyingi hawatumii akili kwenye maamuzi hawawezi kulifanya. Kumbukumbu ya Kumfungia Zitto kisha mashtaka yakapelekwa kwa wananchi bado wanayo. Maana kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hii, ndipo iliposhuhudiwa Mawaziri na viongozi wakizomewa hadharani,misafara yao ikitupiwa mawe hadi ule wa Rais na nguvu ya CDM ikipata kasi zaidi.
Mie nafikiri Mbowe na CDM wanajua CCM ilivyo na walifahamu jeuri ya CCM na kuwa tamko lao la kutaka kukaa meza moja LITAKATALIWA ,ila wamelitoa maksudi ile kukwepa lawama hapo baadae kuwa hawakutaka majadiliano na serikali.
Now CHADEMA, plan A succeded, move to plan B, mwagikeni uraiani muwaeleze wananchi jinsi walivyo ibiwa uhuru wao wa kuchagua viongozi, wizi ambao ni mbaya sana kuliko aliyevunja nyumba na kukuibia RADIO NA NGUO.