Katika miaka 15 Mdee hakutanguliza pesa alitanguliza uchadema kama angetaka kununuliwa ingekuwa kwenye ubunge wa majimbo sio viti maalum.Mdee amepata tabu sana miaka miwili au mitatu hii kwa ajili ya uchadema wake
Mdee amekaa mahabusu,mdee ana vimeo kibao mahakamani,mdee amefungiwa bungeni mwaka mzima yote kwa sababu ya misimamo ya kichadema,halafu eti sisimizi tu wanamuita mdee msaliti
Kuna watu walijifanya makamanda lakini wamekimbia nchi wanakula kuku kwa mrija na familia zao,Mdee hakuthubutu kukimbia,leo anatekeleza sheria mnamuita msaliti,laana ya Dr Slaa izidi kuwaangamiza
Uchaguzi ulikuwa wa huru na haki au haukuwa hivyo?Wanabodi,
Mimi ni muumini wa kitu kinachoitwa "Karma", na nimekuwa nikikihubiri mara nyingi humu jukwaani. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani, haina Msalie Mtume, wala haujui nani ni nani!, kwenye hukumu ya karma, kila mtu anahukumiwa kwa matendo yake.
Leo kikao cha CCM ya CHADEMA, kinakaa as usual as a Kangaroo court, kama kilivyokuwa kinakaa huko nyuma na kutoa hukumu za ajabu, ambazo karma za huku hizo, zinakuja kuigharimu CHADEMA mbele ya safari, tatizo, wakati wa karma payback time unapofika, hakuna anayekumbuka kuwa ni hukumu ya matendo yake, tatizo la karma, unaweza kufanya kitu kidogo, tuu, kwako ukakiona ni insignificant, lakini when karma takes its toll, mapigo ya karma yanakushukia in three folds hadi huwezi kukumbuka ulifanya nini kustahili, kinachokupata!. Ila pia, anayehukumiwa pasipo haki, karma pia huwa ina m take care, na kumu elevate machoni pa watesi wake!.
Mifano ya Matendo ya CHADEMA, na Matokeo ya Karma Zake.
Hiyo ni mifano ya dhambi ya dhana ya usaliti inavyoendelea kuitafuna Chadema ndani kwa, ndani, hapo sijamtaja Dr. Slaa, hadi watu kumuita Dr. Mihogo!, leo angalia waliombeza Dr. Slaa wako wapi, ulinganishe na mahali Dr. Slaa alipo!, haiwezekani watu na makamanda wameipigania Chadema kwa kuigharimikia kwa Machozi, Jasho na Damu, halafu leo uje uwaite wasaliti na kuwatimua kama mbwa!, kamwe Karma haiwezi kuacha salama Chadema!.
- CHADEMA walipo establish a torture chamber pale makao makuu yake na kumshughulikia ipasavyo Mlinzi wa Dr. Slaa, Kagenzi, nilionya kuhusu karma. Kwa vile hii ilikuwa ni internal operation, na mimi sio inside man, naombeni ndugu zangu wa CHADEMA, jifanyieni tathmini, nani alifanya nini, the roles walizo play, then angalia kilichokuja kuwakupa the players, na sasa Kagenzi yuko wapi na ana hali gani!.
- CHADEMA mlipokuwa kwenye kikao chenu cha CCM Arusha, kukatokea mtu miongoni mwenu mlimuita msaliti, kwa kuvujisha info humu jf, jiulizeni ni nani alimdakua mtu huyo, na mlimfanya nini!, then jikumbumbusheni kilichompata huyo kamanda shupavu aliyemshughulikia msaliti!.
- CHADEMA mlipomtimua Juliana Shonza na masalia kwenye kangaroo court yenu, nililizungumzia hili, sasa leo angalieni waliomshughulikia Shonza, nini kiliwakuta, leo wako wapi, na mlinganishe na Juliana Shonza alipo!.
- Mlipowatimua kina Kitila kwa hoja ya ule Waraka wa Mabadiliko, ambao nyinyi mliuita ni waraka wa mapinduzi, mimi nikawaambie ule ni waraka wa kui transform CHADEMA kutoka Chama cha kirakati, kukigeuza Chama Tawala in waiting, hivyo waraka ule haukuwa wa mapinduzi, bali a "winning coalition" kuu revamp uongozi static na stagnant wa CHADEMA, na kuleta uongozi vibrant na dynamic, angalieni makamanda wa timua timua hiyo nini kiliwakuta, linganisha na mahali alipo Prof. Kitila, tena anakuwa Waziri kwenye key ministry!.
- Mlipomtimua Zitto kwa kutumia CC kangaruu, niliwauliza humu, CC ya Chadema, inapata wapi mamlaka ya kumuadhibu NKM wakati mamlaka yake ya nidhamu ni Baraza Kuu, hakuna aliyejibu, angalieni nini kiliwakuta waliomtimua Zitto, ana angalieni Zitto ni nani, tena anakwenda kuteuliwa mbunge wa kuteuliwa kwenye zile nafasi 10 za uteuzi za JPM, linganisha makamanda waliosimamia kutimuliwa kwa Zitto!.
Leo Kangaroo court ya CHADEMA inakutana kumhukumu Halima na wenzake, ndani ya majina yale 19 ya wabunge wa viti maalum wa Chadema, walioapishwa, wabunge 5 ni 'vidumu' vya wajumbe wa CC ya Chadema ambao sio vile 'vidumu' vya 'mpango kando', no!, ni vidumu vya co habitation, mnaishi nyumba moja, mnalala chumba kimoja, kitanda kimoja!, huku mkiishi katika dhana ya ndoa, na kila mtu anawatambua kama mke na mume!, haiwezekani mwenza wako, akaibukia kwenye majina ya viti maalum bila wewe kujua, kilasha akaamkia bungeni dodoma kuapishwa bila wewe, kujua!, namhurumia sana KM. JJ. Nnyika ni mtu muadilifu sana, lakini hajui, the games people plays!.
Miaka mingi nyuma nililizungumzia Chadema kuwa na kirusi, CHADEMA Kuna Kirusi! Je, Unajua kirusi hiki ni Nani?! Na The Motive Behind?
Sasa miaka mingi imepita nikajua sasa Chadema ni safi, kumbe bado!, na sio kuna kirusi, Chadema ina virusi!. Kikulacho...ki nguoni mwako!.
Naomba kuwa mtu wa kwanza kukujulisha kuwa JPM, anaweza kila kitu!, Japo Tanzania hatuna serikali ya mseto, kama aliweza kumteua Anna Mngwira na Prof. Kitila, wakiwa ACT, kwenye baraza lake la mawaziri, hawezi kushindwa kuwateua Mdee na Esta Bulaya, manaibu mawaziri katika serikali yake na sisi huku bara tukaunda serikali ya umoja wa kitaifa!.
Wish Halima and her team, all the best, kama wataandibiwa kwa kuukataa ujinga!, Karma itawashughulikia watesi wao, na kuwa elevate machoni pa watesi wao!.
Mungu Ibariki Chadema at least for once iweze kutenda haki, kuepuka adhabu ya karma, maana kiukweli Chadema hapo ilipo, ni almost dead kinachosubiri ni kukomelea tuu msumari wa mwisho kwenye naniliu la Chadema na kulishusha 6ft under!. The choice is theirs!
Mungu Ibariki Tanzania!.
Paskali
Sasa nini kimempata kiasi cha kwenda kinyume kabisa na utaratibu wa chama ukizingatia yeye ni senior member??Katika miaka 15 Mdee hakutanguliza pesa alitanguliza uchadema kama angetaka kununuliwa ingekuwa kwenye ubunge wa majimbo sio viti maalum.
Kama Karma haijarudia CCM na watawala wake Kwa Hayo uliyoyataja!! Wapo Ambao karma inawashughulikia na sio CCM NA WATU WAKEPascal Mayalla, Mambo ya CHADEMA waachie Chadema wenyewe.
Pascal Mayalla, karma is myth. Chama chenu kimeua watu Unguja na Pemba, kimeumiza wengi wasio na hatia, je wamedhurika nini?
Mlimuua kwa kumchinja shingo Mawazo, mlimtwanga Tundu Lissu marisasi,
Karma imemuadhibu Nani?
Anzory na Ben Saanane wamepotezwa jumla, karma imefanya Nini?
Tangu enzi za Mwalimu, Karume na kupotezwa Abdullah Kassim Hanga, hadi leo, karma imewaadhibu Nini? Au karma ipo kuwaadhibu CHADEMA tu pale wanapowatimua wasaliti?
Sioni mtihani wowote uliopo, msikuze mambo.CHADEMA Wako kwenye mitihani sana , ni wazi kuwa watesi wao wanafurahia UCHONGANISHI waliowafanyia ....na wanaona kabisa hawachomoki...., leo wanatakiwa watoe maamuzi ya busara kwakuwa uamuzi wa kuwafukuza utashangiliwa na wana CCM na uamuzi wa kuwabakiza pia utatumiwa kuchochea kuni na wana CCM ....
Kiukweli demokrasia nchini iko kwenye mtihani mkubwa sana ....hakuna shaka kuwa hawa wanamama ni wana chadema kwa moyo kabisa lakini bahati mbaya wamenasishwa kwenye mtego na watesi wao pamoja na chama chao
Aliyempigia simu kumpongeza kuteuliwa viti maalum ni Mwenyekiti wa Chadema.Sasa nini kimempata kiasi cha kwenda kinyume kabisa na utaratibu wa chama ukizingatia yeye ni senior member??
Kanuni zipo wazi kabisa hata kama Mwenyekiti naye kashiriki atatupisha!! Chama ni mali ya wanachama na si mali ya watu wawili.
Peleka uduwanzi mbali, iwe Mbowe anajua ama hajui, leo ni kupiga chini hao wahuni. Unadhani utatupoteza kwenye utaratibu dhidi ya hawa wahuni wachache kurubuniwa na ccm?Hata Mbowe akizingua mwenyewe tunamzimia taa, itakuwa hao wahuni wachache?
XPeleka uduwanzi mbali, iwe Mbowe anajua ama hajui, leo ni kupiga chini hao wahuni. Unadhani utatupoteza kwenye utaratibu dhidi ya hawa wahuni wachache kurubuniwa na ccm?Hata Mbowe akizingua mwenyewe tunamzimia taa, itakuwa hao wahuni wachache?
Aliyempigia simu kumpongeza kuteuliwa viti maalum ni Mwenyekiti wa Chadema.
Aliyempigia simu tena kuulizia matayarisho ya kuapishwa ni Mwenyekiti wa Chadema.
Aliyewapigia video conference dakika chache kabla ya kuapishwa ni Mwenyekiti wa Chadema.
Hapa inatakiwa busara sio lawama Chadema ina wenyewe Mkuu.
Wakati Mwenyekiti anapigia Halima simu kumpa pongezi; Je ulikiwa na Halima?Aliyempigia simu kumpongeza kuteuliwa viti maalum ni Mwenyekiti wa Chadema.
Aliyempigia simu tena kuulizia matayarisho ya kuapishwa ni Mwenyekiti wa Chadema.
Aliyewapigia video conference dakika chache kabla ya kuapishwa ni Mwenyekiti wa Chadema.
Hapa inatakiwa busara sio lawama Chadema ina wenyewe Mkuu.
hakuna mwenye ubavu huoNi hivi, leo kikao ni kuwafukuza, ukishirikiana na shetani unapigwa chini, historia haina nafasi fullstop.
Paschal uwezo wako wa kufikiri umefikia hatima?Wanabodi,
Mimi ni muumini wa kitu kinachoitwa "Karma", na nimekuwa nikikihubiri mara nyingi humu jukwaani. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani, haina Msalie Mtume, wala haujui nani ni nani!, kwenye hukumu ya karma, kila mtu anahukumiwa kwa matendo yake.
Leo kikao cha CCM ya CHADEMA, kinakaa as usual as a Kangaroo court, kama kilivyokuwa kinakaa huko nyuma na kutoa hukumu za ajabu, ambazo karma za huku hizo, zinakuja kuigharimu CHADEMA mbele ya safari, tatizo, wakati wa karma payback time unapofika, hakuna anayekumbuka kuwa ni hukumu ya matendo yake, tatizo la karma, unaweza kufanya kitu kidogo, tuu, kwako ukakiona ni insignificant, lakini when karma takes its toll, mapigo ya karma yanakushukia in three folds hadi huwezi kukumbuka ulifanya nini kustahili, kinachokupata!. Ila pia, anayehukumiwa pasipo haki, karma pia huwa ina m take care, na kumu elevate machoni pa watesi wake!.
Mifano ya Matendo ya CHADEMA, na Matokeo ya Karma Zake.
Hiyo ni mifano ya dhambi ya dhana ya usaliti inavyoendelea kuitafuna Chadema ndani kwa, ndani, hapo sijamtaja Dr. Slaa, hadi watu kumuita Dr. Mihogo!, leo angalia waliombeza Dr. Slaa wako wapi, ulinganishe na mahali Dr. Slaa alipo!, haiwezekani watu na makamanda wameipigania Chadema kwa kuigharimikia kwa Machozi, Jasho na Damu, halafu leo uje uwaite wasaliti na kuwatimua kama mbwa!, kamwe Karma haiwezi kuacha salama Chadema!.
- CHADEMA walipo establish a torture chamber pale makao makuu yake na kumshughulikia ipasavyo Mlinzi wa Dr. Slaa, Kagenzi, nilionya kuhusu karma. Kwa vile hii ilikuwa ni internal operation, na mimi sio inside man, naombeni ndugu zangu wa CHADEMA, jifanyieni tathmini, nani alifanya nini, the roles walizo play, then angalia kilichokuja kuwakupa the players, na sasa Kagenzi yuko wapi na ana hali gani!.
- CHADEMA mlipokuwa kwenye kikao chenu cha CCM Arusha, kukatokea mtu miongoni mwenu mlimuita msaliti, kwa kuvujisha info humu jf, jiulizeni ni nani alimdakua mtu huyo, na mlimfanya nini!, then jikumbumbusheni kilichompata huyo kamanda shupavu aliyemshughulikia msaliti!.
- CHADEMA mlipomtimua Juliana Shonza na masalia kwenye kangaroo court yenu, nililizungumzia hili, sasa leo angalieni waliomshughulikia Shonza, nini kiliwakuta, leo wako wapi, na mlinganishe na Juliana Shonza alipo!.
- Mlipowatimua kina Kitila kwa hoja ya ule Waraka wa Mabadiliko, ambao nyinyi mliuita ni waraka wa mapinduzi, mimi nikawaambie ule ni waraka wa kui transform CHADEMA kutoka Chama cha kirakati, kukigeuza Chama Tawala in waiting, hivyo waraka ule haukuwa wa mapinduzi, bali a "winning coalition" kuu revamp uongozi static na stagnant wa CHADEMA, na kuleta uongozi vibrant na dynamic, angalieni makamanda wa timua timua hiyo nini kiliwakuta, linganisha na mahali alipo Prof. Kitila, tena anakuwa Waziri kwenye key ministry!.
- Mlipomtimua Zitto kwa kutumia CC kangaruu, niliwauliza humu, CC ya Chadema, inapata wapi mamlaka ya kumuadhibu NKM wakati mamlaka yake ya nidhamu ni Baraza Kuu, hakuna aliyejibu, angalieni nini kiliwakuta waliomtimua Zitto, ana angalieni Zitto ni nani, tena anakwenda kuteuliwa mbunge wa kuteuliwa kwenye zile nafasi 10 za uteuzi za JPM, linganisha makamanda waliosimamia kutimuliwa kwa Zitto!.
Leo Kangaroo court ya CHADEMA inakutana kumhukumu Halima na wenzake, ndani ya majina yale 19 ya wabunge wa viti maalum wa Chadema, walioapishwa, wabunge 5 ni 'vidumu' vya wajumbe wa CC ya Chadema ambao sio vile 'vidumu' vya 'mpango kando', no!, ni vidumu vya co habitation, mnaishi nyumba moja, mnalala chumba kimoja, kitanda kimoja!, huku mkiishi katika dhana ya ndoa, na kila mtu anawatambua kama mke na mume!, haiwezekani mwenza wako, akaibukia kwenye majina ya viti maalum bila wewe kujua, kilasha akaamkia bungeni dodoma kuapishwa bila wewe, kujua!, namhurumia sana KM. JJ. Nnyika ni mtu muadilifu sana, lakini hajui, the games people plays!.
Miaka mingi nyuma nililizungumzia Chadema kuwa na kirusi, CHADEMA Kuna Kirusi! Je, Unajua kirusi hiki ni Nani?! Na The Motive Behind?
Sasa miaka mingi imepita nikajua sasa Chadema ni safi, kumbe bado!, na sio kuna kirusi, Chadema ina virusi!. Kikulacho...ki nguoni mwako!.
Naomba kuwa mtu wa kwanza kukujulisha kuwa JPM, anaweza kila kitu!, Japo Tanzania hatuna serikali ya mseto, kama aliweza kumteua Anna Mngwira na Prof. Kitila, wakiwa ACT, kwenye baraza lake la mawaziri, hawezi kushindwa kuwateua Mdee na Esta Bulaya, manaibu mawaziri katika serikali yake na sisi huku bara tukaunda serikali ya umoja wa kitaifa!.
Wish Halima and her team, all the best, kama wataandibiwa kwa kuukataa ujinga!, Karma itawashughulikia watesi wao, na kuwa elevate machoni pa watesi wao!.
Mungu Ibariki Chadema at least for once iweze kutenda haki, kuepuka adhabu ya karma, maana kiukweli Chadema hapo ilipo, ni almost dead kinachosubiri ni kukomelea tuu msumari wa mwisho kwenye naniliu la Chadema na kulishusha 6ft under!. The choice is theirs!
Mungu Ibariki Tanzania!.
Paskali
Wakati Mwenyekiti anapigia Halima simu kumpa pongezi; Je ulikiwa na Halima?
Kama wamenasishwa wakakubali, chadema inatakiwa ifanye busara ipi. Busara ni kuwafukuza wakatumike kule walikonasa kama hawawezi kujitoa. Na ni kwanini wanaccm ndio wameshikia bango hili suala? Afadhali ufe kwa kile unachokiamini kuliko kufa kwa kile wanachotaka ukiamini.CHADEMA Wako kwenye mitihani sana , ni wazi kuwa watesi wao wanafurahia UCHONGANISHI waliowafanyia ....na wanaona kabisa hawachomoki...., leo wanatakiwa watoe maamuzi ya busara kwakuwa uamuzi wa kuwafukuza utashangiliwa na wana CCM na uamuzi wa kuwabakiza pia utatumiwa kuchochea kuni na wana CCM ....
Kiukweli demokrasia nchini iko kwenye mtihani mkubwa sana ....hakuna shaka kuwa hawa wanamama ni wana chadema kwa moyo kabisa lakini bahati mbaya wamenasishwa kwenye mtego na watesi wao pamoja na chama chao
umemjibu vzr kabisa huyo mvizia teuzi, hongera sana.Pascal Mayalla, Mambo ya CHADEMA waachie Chadema wenyewe.
Pascal Mayalla, karma is myth. Chama chenu kimeua watu Unguja na Pemba, kimeumiza wengi wasio na hatia, je wamedhurika nini?
Mlimuua kwa kumchinja shingo Mawazo, mlimtwanga Tundu Lissu marisasi,
Karma imemuadhibu Nani?
Anzory na Ben Saanane wamepotezwa jumla, karma imefanya Nini?
Tangu enzi za Mwalimu, Karume na kupotezwa Abdullah Kassim Hanga, hadi leo, karma imewaadhibu Nini? Au karma ipo kuwaadhibu CHADEMA tu pale wanapowatimua wasaliti?
Pasca hauoni kosa kughushi sio kosa. CCM wamemfukuza Sophia Simba, Bernard Membe na wengine wengi mbona hiyo karma hatukuiona. Mwandishi wa habari anakuwa na ethics moja wapo ni kuwa mkweii sana wewe ukweii wako upo wapi hapo huoni kosa kughushi. Chama chako kinavumiiia uovu siyo CDM. Covid 19 waondoewe wote.
Utacheka kichina.hakuna mwenye ubavu huo
wapiga kelele wa mitandaoni hamjui chochote kuhusu chadema,ni washabiki maandazi tu