Hoja yako tete ipe mashiko kidogo labda utaelewekawanafundisha kwani wao ni walimu?basi wafungue shule kabisa tujue moja.
R.mtema
1.cdm wanapinga Rais kuchagua tume nzima ya mchakato huu
2.wanapendekeza nafasi izo zigombewe kulingana na vigezo vitakavyo wekwa
3.wananchi hawajashirikishwa ipasavyo
4.cdm wanapinga bunge maalumu la katiba namna ya linavyopaswa kuwa
5.zanzibar wako km milioni 1 sisi tupo km milioni arobaini iweje tuwe na uwakilishi sawa katika bunge la katiba
6.ukipiga hesabu za uwakilishi huo ccm itatoa asilimia 52 ukijumlisha na asilimia za mke Cuf tayali katiba itakua ni ya ccm na Cuf