Makamanda mbona hamsomeki?

Wanasiasa wanaangalia fursa huoni marehemu Pombe anavyokanwa na wanaccm wenzake kuanzia spika na wengine nao wanamsifia Samia sasa Nyalandu kachungulia kaona fursa kwa Samia so acha aichangamkie
 
Hahahah mmawia inawezekana ndiye mwenyekiti wa chadema Lindi!
 
Nyalandu alipotangaza kugombea Urais akishindana na LISSU ni CCM ndio waliomuunga mkono zaidi kuliko CDM. Leo CDM wanune sababu ya Lazaro?
 
Sikh zote nasema huu ndio udhaifu was CHADEMA yaani kuwa bize na matukio hawajui wafanyalo. Leo wako bize na akina mdee badala ya kuwa bize kupambana na mfumo uliosababisha akina mdee wawe pale. Wasichojua ni kwamba huo mfumo utawatesa siku zote, na hautawaacha. Mfumo huo ndio uliosababisha wengine kukimbia nchi na wengine kujiunga sisiem, na kuitwa wasaliti.
 
Ila mama anatuvuruga sana, sio Makamanda wala S. Gang wote tumevurugwa. Sijui tuungane maana naona sote tumekuwa watoto wa nje ya ndoa.
Au nasema Uongo #Nyani Ngabu
Mama anapiga chenga sana
 
Kama Hana mvuto ilikuwaje akashinda uenyekiti Kanda ya Kati?
Kamanda kubali tu kuwa mmepigwa d......le
 
Ayaaa! Kumbe wamenuna! sasa kama ndo hivyo wao wanataka mini sasa.
 
Hakuna mtu aliyenuna kuondoka kwa Nyalandu. Ujio wa Nyalandu Chadema ni tofauti na wale waliokuja Kwa upepo wa Lowasa. Huyu alikuja kupata hifadhi ya kisiasa kwani baada ya kurudi toka kumuona Lissu kule Nairobi alianza kupewa vitisho na kashfa nyingi,hivyo akaona isiwe tabu akaondoka nasi tukampokea kwa upendo wote. Kilichomuondoa ni ukatili wa Meko na siasa zake za chuki na kutojali haki za binadamu,sasa kwa vile mtesi wake hayupo tena duniani ilikuwa sahihi kwake kurudi. Na tumemuekewa. Aende salama na hatuna deni naye.
 
Nyalandu alipotangaza kugombea Urais akishindana na LISSU ni CCM ndio waliomuunga mkono zaidi kuliko CDM. Leo CDM wanune sababu ya Lazaro?
Hata uenyekiti wa chadema kanda ya pwani ccm ndio walimteua.?
 
Na Suleiman mathew nae kwa nini Kahama?
 
Makamanda wametepeta, wamelowa.

Mama anaanza kuwashikisha ukuta.

Si wanamshangilia subiri awaonyeshe kazi.

Mbowe atarudi Dubai sio muda mrefu.
 
Sidhani kama kuna makamanda walioshtuka saana kuona Nyalandu anarudi CCM, ni hisia zako tu. Naweza kusema ilishtua kuhama kwa Nassari, Silinde na Kafulila zaidi kuliko hii ya Nyalandu
 
siyo kweli nyimbo kwenu haziimbiki amerudi kuimba kwa mama
 
Sasa bwashee ni nani alieumia nyalandu kusepa? Au leo umeona uandike andike tu na wewe uonekane upo? Sasa nyalanfu alikuwa ni nani hasa pale chadema kiasi kwamba wateseke? Wamefukuzwa kina Mdee na wenzie hapakuwa na mstuko sembuse Nyalandu? Hebu leteni topic nyingine maana hii imekuwa ya kitoto sana
 
Makamanda wana shida za kujitakia
Dawa ya hawa jamaa nikutowaambia madhaifu yao ili wasije wakashituka, maana inaonekana bado wapo kwenye usingizi mzito sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…