29 na 30 februari uhakika wzee. Must go lazima nchi Ipara'r'aiziShalom Makamanda
Nawajuza Feb 29 tunatoka tufanye maandalizi mapema kuanzia sasa. Jeshi liko nyuma yetu na litatulinda safari hii tunaenda kuing’oa CCM
29 na 30 februari uhakika wzee. Must go lazima nchi Ipara'r'aiz
29 na 30 februari uhakika wzee. Must go lazima nchi Ipara'r'aizi
Pole sanaShalom Makamanda
Nawajuza Feb 29 tunatoka tufanye maandalizi mapema kuanzia sasa. Jeshi liko nyuma yetu na litatulinda safari hii tunaenda kuing’oa CCM
Oya mabango ya Tigo hamna siku hizi 😂29 na 30 februari uhakika wzee. Must go lazima nchi Ipara'r'aizi
Unawashwa washwa na kuhangaika kama mbwa anayetaka kupandwa.Shalom Makamanda
Nawajuza Feb 29 tunatoka tufanye maandalizi mapema kuanzia sasa. Jeshi liko nyuma yetu na litatulinda safari hii tunaenda kuing’oa CCM
Labda anazungumzia 2028 ndio itakuwa na siku 29Unadhani kila mtu ni kenge ksma wewe huu,huu mwaka february ina siku 28 only
Pole mkuu kama um3dhulumiwa na kelvin kizembe zembe kias kile. Mabqngo yanaendelea na kwa sabab watu kutolipwa na bos wenu kelvin mmekuja kunidai mm. Siku mlizolipwa hamkunipa hata mia nikaona kweli kuna bogaz treaty na tikitimajiz treaty. Madogo wa jf waliodhulumiwa kizembe pale ni tikitiz
Mlifanya biashara gani mbona kuna mmoja anaonekana kapigwa?Pole mkuu kama um3dhulumiwa na kelvin kizembe zembe kias kile. Mabqngo yanaendelea na kwa sabab watu kutolipwa na bos wenu kelvin mmekuja kunidai mm. Siku mlizolipwa hamkunipa hata mia nikaona kweli kuna bogaz treaty na tikitimajiz treaty. Madogo wa jf waliodhulumiwa kizembe pale ni tikitiz
Hawq madogo niliwqunganishaga kaz wakabandike mabango ya yas wakaenda. Siku za mwanzo wqmelipwa ikawaje sijui wqkqambiwa ukibandika bango la yas bandua la tigo ndo ulipwe wakakubali.Mlifanya biashara gani mbona kuna mmoja anaonekana kapigwa?
Aaah! Kumbe nikajua Kalaga baho umekua mpigaji labda😂😂😂😂Hawq madogo niliwqunganishaga kaz wakabandike mabango ya yas wakaenda. Siku za mwanzo wqmelipwa ikawaje sijui wqkqambiwa ukibandika bango la yas bandua la tigo ndo ulipwe wakakubali.
Kwemda kazin kazi ikawashinda jamaa wanapota kukagua bango zimeandikwa tigo zipo na bango za yas zipo. Wakaambiwa warudi wazibandue ndo walipe na ujinga ujinga mwingine wakashindwana. Mpaka leo hawajalipwa na jamaa aliyewadhulumu ni kiongozi wao aliepewa hela awalipe akidai kuwa akiwalipa yeye halipwi mana kaz hawajafanya ilivyotakiwa
Ubaya ukabwela madogo wananirudia mm nikawapiganie walipwe. Nikawambia mlitakiwamkatae toka mwanzo kuwa zoez la kubandika na kubandua ni mazoez mawili tofauti
😀😀😀 hawa tigo nawadai hela yangu. Waliwazungusha madogo juani siku nzima na mabango mkononi halafu hawajawalipa. Madogo wakaleta malalamiko yao kwangu, kwa sababu mimi ndie niliwasanua kuhusu ule mchongo nikaona nitoe hela yangu mfukoni niwalipe tu hiyo hela wanayowadai tigo