LitmusPaper Ni ufahamu wako tu unakutuma vibaya,kisayansi ------ ni sehemu ya mwilini ambayo ziada ya kile ulichokula kisipotumika huhifadhiwa kwa ajili ya wakati wa upungufu. Labda kinachoweza kuwa sahihi ni kwamba huyo utakayekuwa naye inakuhakikishia hana utapia mlo na hivyo atakuwa ametulia kimawazo wakati wa tendo.
Afu mtoamada hebu jitambue!
Kama m.a.ta.ko ya "ke" yakiwa nguoni wadai yanakutega!
Yakisauliwa nguo si ndo yatakuangusha kabisa?
Kama hivyo ndivyo you must change that habit soon !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.