Inawezekama ni tamu mkuu, lakini mpaka abdalla kichwa wazi asimame ili ukaonje huo utamu lazima uwe umepiga valuer za kutosha ukiwa sober kamwe hasimami!!
Unafikiri hayo ya kwako ulienda kuchagua Kariakoo? Au unafikiri huyu dada alienda dukani kuyanunua? Punguzeni maneno, maneno yanaumba. Mungu aliyemwumba hivi bado anaishi na waswahili wanasema, "hujafa hujaumbika...."