Hivi kwa nini wanawake wanachoma sindano za silicon ili kukuza makalio yao? Wengine wanatumia mpaka dawa za Kichina kuongeza saidi ya makali? Mpaka inafikia wakati wanawake wananunua nguo special zilizotengenezwa maalum kuongeza ukubwa wa makalio? Secretary wangu anasema eti wanafanya hivyo ili kuongeza shepu zao kuwavutia wanaume. Anadai eti wanaume hupenda makalio makubwa kwa sababu ya kuyashikashika na wakati mwingine kuyapigapiga wakati wa tendo la ndoa. Wengine wanasema makatio ni station ya kutengeneza joto linalowafanya wanaume waone kama wako peponi wakati wa tendo hili. Mimi siamini haya. Wenye utajiri wa makalio watupe data.