Makali ya TANESCO kupungua

Inkoskaz

JF-Expert Member
Nov 6, 2010
6,372
2,374
Tanesco kuondoa Monthly Service Charge ya Tshs 5,520
Hatua hiyo inaenda sambamba na maombi ya kushusha gharama za umeme kwa takribani asilimia 1.1%
Pia gharama za ulipiaji gharama ya form unapoomba umeme kuondolewa.

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco Eng Feleschmi Mramba wakati akiongea katika Studio za ITV

Hata hivyo utekelezaji wake utategemeana na kasi ta EWURA katika kujibu maombi yao hayo

Service Charge ilikuwa ni mwiba kwa watumiaji wananchi wa kawaida kwani endapo mwanzoni mwa mwezi atawajibika kununua umeme kwa garama isiyo chini ya shilingi 7,000 ikiwa ni makato ya Service na Kodi

Hongera TANESCO kuliona hilo
 
Tanesco kuondoa Monthly Service Charge ya Tshs 5,520
Hatua hiyo inaenda sambamba na maombi ya kushusha gharama za umeme kwa takribani asilimia 1.1%
Pia gharama za ulipiaji gharama ya form unapoomba umeme kuondolewa.

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco Eng Feleschmi Mramba wakati akiongea katika Studio za ITV

Hata hivyo utekelezaji wake utategemeana na kasi ta EWURA katika kujibu maombi yao hayo

Service Charge ilikuwa ni mwiba kwa watumiaji wananchi wa kawaida kwani endapo mwanzoni mwa mwezi atawajibika kununua umeme kwa garama isiyo chini ya shilingi 7,000 ikiwa ni makato ya Service na Kodi

Hongera TANESCO kuliona hilo
Je EWURA watakubali??
 
Tatzo haijulikani ni lini? Nakumbuka Prof. Mhongo aliongelea kuhusu issue ya kushusha bei ya Unit ya umeme, lakini waaapiii hadi leo!!!

Kuna issue kaisahau: Kuondoa gharama za Nguzo. Haiwezekani Halotel, Tigo, TTCL, Voda na Airtel wasambaze minara kwa gharama zao afu TANESCO tuwasambazie sisi, wakati tunalipia huduma kama mitandao ya SIMU!!
 
Tatzo haijulikani ni lini? Nakumbuka Prof. Mhongo aliongelea kuhusu issue ya kushusha bei ya Unit ya umeme, lakini waaapiii hadi leo!!!

Kuna issue kaisahau: Kuondoa gharama za Nguzo. Haiwezekani Halotel, Tigo, TTCL, Voda na Airtel wasambaze minara kwa gharama zao afu TANESCO tuwasambazie sisi, wakati tunalipia huduma kama mitandao ya SIMU!!
Njii hii bwashee haishi vituko
 
Kwa kweli ilikua ni zaid ya jipu mi mwenyewe jana imebid niwahi kulipa umeme angalau kikwepa kidogo service chage mpaka niwe vr yani ni zaid ya jipu
 
Linaanza kutekelezwa lini? Isije ikawa ndio kuwapa wananchi matumaini yasiyo na tija
 
Tatizo itasikia bodi haijakaa mara wajumbe hawajatimia na bado tupo kwenye mchakato
mkuu Inkoskaz hao jamaa wanaoitwa BODI, daah, huwa napata tabu sana kuwaelewa! kuna jamaa yng alisota mtaani kama nyundo 5 hivi, akaja akapata kazi serikalini, akaenda utumishi akapewa barua ya kuripoti kituo cha kazi, akaenda sasa ofisi alopangiwa! akaambiwa BODI haijakaa, yeye na wenzake waende wakasubiri, watapigiwa simu! jamaa alikaa miezi mi3 anasubiri tu! mwezi wa 4 akapigiwa, akaambiwa mwezi ujao uje kazini, so miezi mi5 watu walikuwa wanamchomesha mahindi!
 
Tatzo haijulikani ni lini? Nakumbuka Prof. Mhongo aliongelea kuhusu issue ya kushusha bei ya Unit ya umeme, lakini waaapiii hadi leo!!!

Kuna issue kaisahau: Kuondoa gharama za Nguzo. Haiwezekani Halotel, Tigo, TTCL, Voda na Airtel wasambaze minara kwa gharama zao afu TANESCO tuwasambazie sisi, wakati tunalipia huduma kama mitandao ya SIMU!!
Shirika la kinyonyaji tu hilo.
 
Tatzo haijulikani ni lini? Nakumbuka Prof. Mhongo aliongelea kuhusu issue ya kushusha bei ya Unit ya umeme, lakini waaapiii hadi leo!!!

Kuna issue kaisahau: Kuondoa gharama za Nguzo. Haiwezekani Halotel, Tigo, TTCL, Voda na Airtel wasambaze minara kwa gharama zao afu TANESCO tuwasambazie sisi, wakati tunalipia huduma kama mitandao ya SIMU!!
Uko sahihi mkuu hizi nguzo kuuziwa Wateja sio sahihi, labda wangesema ukilipia nguzo baada ya kuanza kutumia umeme tutakatana kidogo kidogo! Lakini wanachokifanya Sasa ni wizi wa mchana kweupe!
 
mkuu Inkoskaz hao jamaa wanaoitwa BODI, daah, huwa napata tabu sana kuwaelewa! kuna jamaa yng alisota mtaani kama nyundo 5 hivi, akaja akapata kazi serikalini, akaenda utumishi akapewa barua ya kuripoti kituo cha kazi, akaenda sasa ofisi alopangiwa! akaambiwa BODI haijakaa, yeye na wenzake waende wakasubiri, watapigiwa simu! jamaa alikaa miezi mi3 anasubiri tu! mwezi wa 4 akapigiwa, akaambiwa mwezi ujao uje kazini, so miezi mi5 watu walikuwa wanamchomesha mahindi!
Ndio tatizo kuweka wajumbe wa bodi wabunge nk hawana muda ama kulimbikizia vyei mtu mmoja anakuwa mjumbe bodi kadhaa
 
Uko sahihi mkuu hizi nguzo kuuziwa Wateja sio sahihi, labda wangesema ukilipia nguzo baada ya kuanza kutumia umeme tutakatana kidogo kidogo! Lakini wanachokifanya Sasa ni wizi wa mchana kweupe!
Tanesco wanatakiwa kubadilika kwani mteja karindikiwa mzigo mkubwa.
ulipie fomu, ulipie nguzo, ulipie huduma, ulipie ewula, ulipie lea bado vat.

mzigo wote huu karundikiwa mlaji hii si sawa.
ifike mahala watuonee huruma,
 
Tanesco kuondoa Monthly Service Charge ya Tshs 5,520
Hatua hiyo inaenda sambamba na maombi ya kushusha gharama za umeme kwa takribani asilimia 1.1%
Pia gharama za ulipiaji gharama ya form unapoomba umeme kuondolewa.

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco Eng Feleschmi Mramba wakati akiongea katika Studio za ITV

Hata hivyo utekelezaji wake utategemeana na kasi ta EWURA katika kujibu maombi yao hayo

Service Charge ilikuwa ni mwiba kwa watumiaji wananchi wa kawaida kwani endapo mwanzoni mwa mwezi atawajibika kununua umeme kwa garama isiyo chini ya shilingi 7,000 ikiwa ni makato ya Service na Kodi

Hongera TANESCO kuliona hilo
Sasa mbona mnachanganya watu? Taarifa ya hapo chini inasema mramba amekanusha, sasa hayo ya studio ya ITV yalifanyika lini?
Gharama za umeme kushushwa (Tanesco yakanusha uvushi )
 
Back
Top Bottom