Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,880
- 828,445
Leo ndio siku ambayo kwa mujibu wa ratiba zao wataingia rasmi mitaani kujitambulisha zaidi na kumwaga sera zao
Ratiba ya ufunguzi itaanzia Mwanza.. Haijajulikana kiwanja gani
Makali yake yataonekana Leo kutokana na nyomi ya mwitikio wa wana mwanza... Na amin I watakuwa wamejiandaa vema sana
Mashaka yangu ni Kama hawatarudia makosa ya mkutano wao wa kwanza Dsm ambapo
Waliahidi kuwatambulisha wanachamq wapya 3000 toka CHADEMA.. lakini ukumbi waliokuwa wamekodishiwa haubebi watu 400
Waliwalaghai viongozi wa mikoani waje Dar eti mwenyekiti mstaafu anawaita
Waliwatapeli kwenye malipo ya malazi na chakula
Ukumbi ulijaa wahuni na vijana wadogo waliokuwa hawajaandaliwa hata namna ya kuitikia salamu ya chama
Mziki wa singeli ulitawala badala ya hotuba
Tunawatakia maandalizi mema na tunawakaribisha sana Mwanza
Ratiba ya ufunguzi itaanzia Mwanza.. Haijajulikana kiwanja gani
Makali yake yataonekana Leo kutokana na nyomi ya mwitikio wa wana mwanza... Na amin I watakuwa wamejiandaa vema sana
Mashaka yangu ni Kama hawatarudia makosa ya mkutano wao wa kwanza Dsm ambapo
Waliahidi kuwatambulisha wanachamq wapya 3000 toka CHADEMA.. lakini ukumbi waliokuwa wamekodishiwa haubebi watu 400
Waliwalaghai viongozi wa mikoani waje Dar eti mwenyekiti mstaafu anawaita
Waliwatapeli kwenye malipo ya malazi na chakula
Ukumbi ulijaa wahuni na vijana wadogo waliokuwa hawajaandaliwa hata namna ya kuitikia salamu ya chama
Mziki wa singeli ulitawala badala ya hotuba
Tunawatakia maandalizi mema na tunawakaribisha sana Mwanza