Sikonge, Zitto, Jasusi, Mchambuzi, Ritz, Kichuguu, Dr.W.Slaa, Nguruvi3, THE BIG SHOW,wana JF,
..hivi kuna sehemu yoyote nchi hii ambako wameridhika na utawala wa CCM??
..hivi kuna sehemu yoyote ile ya Tanzania ambapo wanaweza kusema, "this is how our country should be 52 yrs after independence"??
..mimi naona kila pembe ya Tanzania wanatamani kujitenga, sema hawana courage tu ya kusema hivyo.
Mimi nadhani kila jambo lina sababu linapotokea, zinaweza kuwa nzuri au mbaya.Sikonge, Zitto, Jasusi, Mchambuzi, Ritz, Kichuguu, Dr.W.Slaa, Nguruvi3, THE BIG SHOW,wana JF,
..hivi kuna sehemu yoyote nchi hii ambako wameridhika na utawala wa CCM??
..hivi kuna sehemu yoyote ile ya Tanzania ambapo wanaweza kusema, "this is how our country should be 52 yrs after independence"??
..mimi naona kila pembe ya Tanzania wanatamani kujitenga, sema hawana courage tu ya kusema hivyo.
Sikonge, Zitto, Jasusi, Mchambuzi, Ritz, Kichuguu, Dr.W.Slaa, Nguruvi3, THE BIG SHOW,wana JF,
..hivi kuna sehemu yoyote nchi hii ambako wameridhika na utawala wa CCM??
..hivi kuna sehemu yoyote ile ya Tanzania ambapo wanaweza kusema, "this is how our country should be 52 yrs after independence"??
..mimi naona kila pembe ya Tanzania wanatamani kujitenga, sema hawana courage tu ya kusema hivyo.