Makada wa CCM wawe wapole

Makada wa CCM wawe wapole

"ATAKE ASITAKE ", andika hivyo kwa herufi kubwa, watakupongeza hao wote.
Nchi ya chama kimoja hii. Ujinga ujinga ni mwingi sana Tanzania
Naunga Mkono Hoja, Ungana Na Hawa
Ally Kessy
Juma Nkamia
Jah People
Katiba Siyo Msahafu Wala Bible Tutaibadilisha

Vigogo Wengine Wanatumia Maneno Ya Kujificha Haa😂😁😀
 
Ni positive response na siyo positive respond, najua hamtaki kiingereza ktk awamu hii ya 5 lakini kwa English grammar mbovu kama hiyo lazima tuseme!
Zinahusiananje sasa na mada? Umechizika nini wewe? kwani hapa tuko kwenye thread ya kufundishana kiingereza? Nonsense kabisa
 
Ungejijibu mwenyewe huu utumbo wako unaong'ong'wa na nzi!
Wewe ndo una shobo ambazo hazina maana nani kakuambia uje ujibu hoja kama unaona imekukera si ungeendelea kunywa chai kwa shemeji yako hapo?
 
Mtup
Naunga Mkono Hoja, Ungana Na Hawa
Ally Kessy
Juma Nkamia
Jah People
Katiba Siyo Msahafu Wala Bible Tutaibadilisha

Vigogo Wengine Wanatumia Maneno Ya Kujificha Haa😂😁😀
Eti Lijitupoli LITAKE LISITAKE, pumbavu zao kabisa kabisa. Kwa lipi haswa, kutesa na kuua watanzania?!
 
Sasa ulikuwa unasubiri nini kuandika uzi wako kuhusu hiyo kero? Jaribu kuwa serious na matumizi ya akili yako
Kwa hiyo kuwaza kwetu kunafanana.Na ukishasoma kitu humu basi hutakiwi kutoa maoni au mtazamo au ushauri bali unafungua Uzi wako.

Kwani Wewe nawe ulikuwa unasubiri nini usifungue uzi wako.
 
Back
Top Bottom