Hiyo haitakufanya wewe usiwe KULA KULALA KWA SHEMEJI YAKOTaarifa zilizopo kikoba kitavunjwa rasmi kadai mbegu zako kwenye saccos ya ufipa!
Sawa sawa mkuu subiri tuzo ya kujua kazi ya jukwaaTatizo lako hili jukwaa umeingia kwa bahati mbaya ndiyo maana hujui kazi yake.
Pole sanaSawa sawa mkuu subiri tuzo ya kujua kazi ya jukwaa
Unaita watu wapuuzi wakat umejificha kwa fake id.🤣🤣🤣Unawataja watu kwa majina halisi wakati umejificha kwa fake id .mpuuzi wewe
Sasa ulikuwa unasubiri nini kuandika uzi wako kuhusu hiyo kero? Jaribu kuwa serious na matumizi ya akili yakoHuo uhuni upo twitter kama wote tutaorodhesha walio tublock kazi itakua kubwa mimi Lissu aliniblock kisa tu nilimwambia hatoshinda uraisi na sapoti ya maandamano watu hawatoki!
Kabisa ndugu uko sahihiShukuru Mungu wanakublock.
Lissu alishambuliwa na risas zaidi ya 30 (hata Nguruwe pori hawezi shambuliwa hivyo).
Ben saanane na Azory hadi leo haonekani.
N.B UKITAKA KUWA RAFIKI WA HAYO MAKADA WEKA AKILI PEMBENI.
KUNA GHARAMA KUBWA YA KULIPA UKITUMIA AKILI YAKO NCHI HII.
Linini hilo!Yani litake, lisitake.
Sasa ulikuwa unasubiri nini kuandika uzi wako kuhusu hiyo kero? Jaribu kuwa serious na matumizi ya akili yako
Hiyo haitakufanya wewe usiwe KULA KULALA KWA SHEMEJI YAKO
Li Mtupoli hiloLinini hilo!
Heri ukose mali kuliko kukosa akili kama weweShemeji bado yupo bungeni!