Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,045
- 10,329
Hao ni sawa na matrekta
Mkuu acha kutuharibia CV zetu bhana, mimi nawaangalia tu mnavyo andika ... nawangojea ntawajibu, ila hii siyo poua mkuuwarombo ndio wanasifika kwa uchawi
Wao sifa yao ya kwanza ni macho kwenye mapato na niwakali sana ukiwaletea ujinga wanaweza wakakuchinja wana hasira sana.
wanapenda kwenda Kenya kutafuta ma bwana maana waume zao ni walevi,wakienda na ndizi hawarudiWakuu naomba wenye ufahamu wa wanawake wa rombo anijulishe tabia nzuri walizonazo, tabia zisizofurahisha walizo nazo na je ni wafe material. Naombeni msaada
vilaza kama ndugu yaoHivi Dada zake kilaza mkuu bashiiiiiite wana tabia gani ??
Hii nishaiona ata mieWachapakazi,Ila wanaumimi na uchoyo .
HihihKwani ulikuwa kipofu mdogo wangu?
Wife material mambo?
watani zangu maskini
Ohoooo!!!
Sasa ukishajua sifa zao,ziwe nzuri au mbaya zitakusaidia nin labda?
We kama unataka kumuacha mtu muache in good ways,upuuzi wa kusema sijui huyu mchaga au mkurya hafai hauna maana kwenye dunia ya watu waliostaarabika.
Ikitokea nataka kuoa mchaga nitaoa MROMBO au MU OLD MOSHI
wengine wote hawafai, wana roho mbaya, halafu wezi.
Wafe material ni gia box ya fiati
karibu rombo...tabia yetu ya kwanza ni uaminifu ...yaan mwanamke wa rombo akikupenda hata aambiwe huyu mwizi hasikiii ,,,ya pili huwa tunapenda kuwaheshimu wanaume zetu kuliko vitu vyote ..ya tatu tunapenda kutafuta pesa,,,tu wahangaikaji sana yaan,, ya nne hatuna majivuno wala kiburi..hiki kitu tumenyimwa kwa kweli ..ya tano tu wapole sana yaan ...ya sita tunapenda kusali sana ...ya saba hata kama kwao ni matajiri hajionyeshi atajifanya wakawaida ...pia huwa wanapenda kusaidia watu wasiojiweza,kutoa misaada...pia wanawake wengi waliosoma ni waalimu
udhaifu wetu
ya kwanza tuna wivu wanaume sana .. ya pili mwanamke wa kirombo akiwa kwenye mahusiano anapenda mawasilino na mpenzie kuliko hata pesa...yaan hata usiwe unampa hata mia lakin ukiweza kudumisha mawasilino yaan anakuamin vibaya na anajua wew ni wa kwake pekee ake kumbe umewarundika wengi...ya tatu hawapendi kuzaa kabla ya ndoa ...yaan hata umdanganye vip hakubali anapenda kuipa heshima familia yake ni mara chache wanatokea waliozaa nje ya ndoa hapa inategemea na malezi na aina za familia...ya nne uaminifu uliopitiliza yaan hapa akiwa na jamaa hata atongozwe mara mia atawakataa wote wanaomtongoza hata iwe huyo jamaa yake hana mpango nae in short ni watu wanaopenda kukaa kwenye uhusiano wa muda mrefu na mtu mmoja hawajui kuchepuka,.
Ni kweli kabisa, kuiga sio kipaumbele kama kaziAcha kabisa wanafanya kazi hadi wanasahau kuoga.
Wewe usiku huwa unalala au unasikiliza milio ya ushuzi wa kirombo?Daah kupenda wanajuwa sema wabovu hao kitandani kama gogo afu huwa wanajamba sana usiku