Paul mathew
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 275
- 60
Ha ha ha ina maana hiyu mtumishi wa uma hajui kuandika kwa paragraphWakati mwingine jitahidi uweke japo paragraphs basi maana naona kila nikisom anarudia mstari uleule mpaka nimechoka.
Anyway waliofanikiwa kusoma mpaka mwisho watakushauri.