Makabila kumi yenye wanawake wazuri sana Tanzania

Wanyakyusa, wasafwa ,wanyia, wandali, wamalila, wasukuma, wanyamwezi,wakerewe,wajita kwa mbali na dada zake JIWE (wazinza), wote wabovu tu,

Mpaka mtu ukakata tamaa na maisha
Mimi wanyakyusa ninaowajua wengi ni wazuri.
 
Wanyakyusa, wasafwa ,wanyia, wandali, wamalila, wasukuma, wanyamwezi,wakerewe,wajita kwa mbali na dada zake JIWE (wazinza), wote wabovu tu,

Mpaka mtu ukakata tamaa na maisha
Wanyamwezi na Wasukuma watoe hapo, Dada zangu wanalipa. Yaani unamaanisha SHISHI TRUMP ni mbaya? Hebu jiheshimu wewe (
)

Wanyakyusa hapo sina comment, wazuri ni wakumulika kwa tochi
 
Wanyamwezi na Wasukuma watoe hapo, Dada zangu wanalipa. Yaani unamaanisha SHISHI TRUMP ni mbaya? Hebu jiheshimu wewe (
)

Wanyakyusa hapo sina comment, wazuri ni wakumulika kwa tochi



Kwa kweli wasukuma wa kuanzia kolandoto had Mwanhuzi n wabovu tu, wasukuma wa Itilima, busega, Bariadi wote wabovu, bora kahama mjini waweza bahatika mmoja mmoja sana.
 
Wanyamwezi na Wasukuma watoe hapo, Dada zangu wanalipa. Yaani unamaanisha SHISHI TRUMP ni mbaya? Hebu jiheshimu wewe (
)

Wanyakyusa hapo sina comment, wazuri ni wakumulika kwa tochi
Hahahaha
 
Mi nikiwa uchaggani naweka tu noti ya elfu kumi mezani kwa bar huku nikinywa safari yangu pole pole. Baada ya muda unakuta mademu hao wanamiminika na kunihamkia shikamoo kaka, habari za leo, mbona hauna kampani?
 
Wanyamwezi na Wasukuma watoe hapo, Dada zangu wanalipa. Yaani unamaanisha SHISHI TRUMP ni mbaya? Hebu jiheshimu wewe (
)

Wanyakyusa hapo sina comment, wazuri ni wakumulika kwa tochi
Shishi trump ni wa singida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…