Makabila ambayo kitandani ni goigoi

Makabila ambayo kitandani ni goigoi

wewe sema umekutana na washamba tu kila mahali kuna wajanja na washamba wao kama vile kila soko na kichaa wake
 
Ha ha ha!!! Kweli mkuu hata mimi pamoja na kuoa huko lakini wamachame hawazoeleki!!! Wanawake kama wanaume vile!!! Basi kuna shemeji yangu ali loose step akawa anaishi na mwanamke wa kimachame na kuzaa watoto wawili. Alipopeleka issue nyumbani kufunga ndoa basi alikataliwa kata kata hadi leo hawajafunga ndoa kabisa!!! Wachaga wenyewe wanaogopa machame!!! Sijajua sana undani ni kwa nini hasa.
Mwenzako anazungumza mambo ya Ngono ...we unazungumza tabia. Mwenzako anataka kuoa kahaba manake hao ndio mafundi kuliko hata watu wa kawaida.
 
hivi wewe mleta mada wachaga tu ndo magoi goi kitandani usinifanye niende mbali nikataka tufanye practical afu ulete mrejesho hapo acha kabisa

Ha ha ha, inaonekana inakuttach sana hii....ila jiongezeni bana, maana kila mtu aliyemeet na mchaga analeya same feedback.


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Mwenzako anazungumza mambo ya Ngono ...we unazungumza tabia. Mwenzako anataka kuoa kahaba manake hao ndio mafundi kuliko hata watu wa kawaida.
Kuna ushauri uliwahi kutolewa hapa kwa wanawake walioolewa kwamba wakitaka ndoa zao zidumu wafanye tendo la ndoa na waume zao kama makahaba, na siyo kila siku kifo cha mende watachokwa.

Nitautafuta ule uzi nikutumie link.
 
Si useme tu umelenga wachaga sasa mama?? Sasa nikuambie kuwa wachaga wa leo si wale uliokuwa unawafikiria!!! Na mchaga wa leo akikukamatia mumeo humpati tena ninakuambia kwa sababu kwanza mapenzi wameshayajua sana, ni wachapakazi, ni wapishi wazuri nyumbani, ni watunzaji wa familia vizuri hasa malezi kwa watoto, si tegemezi nikimaanisha kuwa wanajishughulisa nivyo hela ndogondogo za matumizi yao haziwapigi chenga!!! Sasa nioe mtaalam wa kitandani huku kila siku ananipiga mizinga ni ya nini!!! Mchaga kitu eti kila upande wako poa sana!!! Ukioa mchaga jua familia yako imetulia tuli hata homework za watoto wanafuatilia na vikao vya shule yaani acha kabisa!! Mahusiano mazuri ni zaidi ya kukatika mauno kitandani!!! Wanaume tunataka mama wa watoto tofauti na fundi kitandani!!!!

I wish I cu'd give u more than 1 like
 
Kuna makabila jamani yako kama wale mawaziri mizigo wa CCM, yaani wanaume kwa wanawake kitandani goigoi.
Unakuta mwanamke mweupe, sura nzuriiii, miguuu myembamba kama ya mbu wa dengue, kitandani hana mashamu shamu yoyote zaidi ya kusema YETHU NA MARIA, YAANI HATA MATHAWE HAFANYAGI HIII.
Jamani mwenzenu huwa nakereka sana.
Pia kuna wale wababe, unakuta wakati wa kumuandaa anakuuliza, UNANIRAMBARAMBA NINI, KWANI MI NDAMA? HEBU INGIZA NIKARIME.
yaani kuna umuhimu wa kuthamini tendo la ndoa jamani na mjitoe akili na nafsi zenu kwa ajili ya tendo hili, msione aibu kujifunza kwa kuuliza na kusoma maandiko mbalimbali.

Tofautisha Mama wa watoto wako na vyombo vya starehe. Kuna sababu gani kukatiwa viuno ilihali nyumba yako ianenda mrama na haina amani. Jaribu ukanda wa P.w.n utaona utamu wake lakini ukose kuitwa Baba.
 
Nasikia wachaga wa kimala ni janga.. wanavaa jeans zenye picha ya mabunduki..wananyoa panki..wanavaa sana nguo za njano.. kitandani pia zero
 
Ipo siku tunakuchezesha gwaride ndo utajua kuna tofauti ya machame ya zamani ya kupanda pickup na ya sasa
 
Kuna makabila jamani yako kama wale mawaziri mizigo wa CCM, yaani wanaume kwa wanawake kitandani goigoi.
Unakuta mwanamke mweupe, sura nzuriiii, miguuu myembamba kama ya mbu wa dengue, kitandani hana mashamu shamu yoyote zaidi ya kusema YETHU NA MARIA, YAANI HATA MATHAWE HAFANYAGI HIII.
Jamani mwenzenu huwa nakereka sana.
Pia kuna wale wababe, unakuta wakati wa kumuandaa anakuuliza, UNANIRAMBARAMBA NINI, KWANI MI NDAMA? HEBU INGIZA NIKARIME.
yaani kuna umuhimu wa kuthamini tendo la ndoa jamani na mjitoe akili na nafsi zenu kwa ajili ya tendo hili, msione aibu kujifunza kwa kuuliza na kusoma maandiko mbalimbali.

we kundi gani?
 
Kuna ushauri uliwahi kutolewa hapa kwa wanawake walioolewa kwamba wakitaka ndoa zao zidumu wafanye tendo la ndoa na waume zao kama makahaba, na siyo kila siku kifo cha mende watachokwa.

Nitautafuta ule uzi nikutumie link.
okey sio kila ushauri una mashiko ndani yake. Ushauri mwingine upo katika kupandikiza roho ya Ukahaba katika Jamii.
Wako wanawake wengi walioachwa pamoja na kujitoa sana kwenye ngono, ......
still bado hawajui walikosea wapi .!?
for instance Kuna wanaume kama mimi sipendi mwanamke anayependelea kufanya "Blow Job".Hivyo Mwanamke yoyote akija na Style hizo..naweka wazi .. nitampiga chini mapema.

Lakini si ajabu kukuta kila Mwanamke ukiwa naye faragha anawaza blow job first.

Pia Kuna wanaume wengine sio "too experienced". hivyo ukija na style za ajabu kamavile kukubali "anal sex". Mwanaume atajihisi amekutana na Malaya, hivyo atakutumia na mwisho atakupotezea.Atakushusha heshima na thamani na kuona hufai kuwa wife material. Ujuaji sana sio ujanja. Women should behave..
Wanawake wanatakiwa wajue kuwa...
GOOD SEX DOESN'T MAKE A MAN LOVE YOU, & GIVING BIRTH TO A BABY DOES NOT MAKE A MAN MARRY YOU EITHER.
 
Ha ha ha, inaonekana inakuttach sana hii....ila jiongezeni bana, maana kila mtu aliyemeet na mchaga analeya same feedback.


Sent from my iPhone using JamiiForums app
wewe mimi nikijiongeza itakkuwa hatari hapa ndo saize yenu ,... nikiongeza kidogo tu mtanifia kifuani
 
Back
Top Bottom