Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Mimi sihitaji miwani ya jua najiamini na kujibali jinsi nilivoumbwa namtukuza Muumba wangu kwa kweli. Kwahyo kunguru akipiga kelele I don't care.

I love my makengeza
Good nimependa ulivyojikubali
Mbona hata mbowe anayo jaman
 
Kilichomtokea ni kama hiyo avatar yako, akutongoze halafu akikutana na wewe anagundua yuko na kifaa cha kumsaidia Mtoto Kunywa Uji vizuri na kwa utulivu
Nanukuu " anagundua yuko na kifaa cha kumsaidia mtoto kunywa uji vizuri na kwa utulivu"
Saluti kwako umeua hapo
 
Nafikiri watu wanapaswa kumfuatulia mtu huku jukwaani kabila ya kuomba namba na kupiga mtongozo.

Pamoja na watu kufake ID, kufake maisha, kuna kitu tuu lazima wanashindwaga kuficha...

Kama wewe ni mchunguri kuna tabia za mtu ukizijua utaweza kupatia ni mtu wa aina..

Ila ndio mpaka sasa ufuatulie hivyo;
Katika vitu watu wanajidanganya humu jf ni hilo la kusoma maandishi na kuamini unamjua mtu, utaingia chaka.
 
Back
Top Bottom