Savage Dad
JF-Expert Member
- Jul 10, 2018
- 1,388
- 2,611
Eeee kma hvyo![]()
![]()
Tandale sweetheart kama kina amber ruty,ok asante kwa kunifahamishaMi sio slay queen my dear, mi tandale sweetheart
Good nimependa ulivyojikubaliMimi sihitaji miwani ya jua najiamini na kujibali jinsi nilivoumbwa namtukuza Muumba wangu kwa kweli. Kwahyo kunguru akipiga kelele I don't care.
I love my makengeza


Tayari ashajulikanaKwenye huu Uzi nimeona forward mmoja yupo kwenye kumi na nane!!


Tayari ashajulikana![]()
Nanukuu " anagundua yuko na kifaa cha kumsaidia mtoto kunywa uji vizuri na kwa utulivu"Kilichomtokea ni kama hiyo avatar yako, akutongoze halafu akikutana na wewe anagundua yuko na kifaa cha kumsaidia Mtoto Kunywa Uji vizuri na kwa utulivu
Hahahaha, humu kuna burudani sana Mkuu ,huwa nachekaga sana humuHahahaaa,huu uzi nimecheka mno.
Nanukuu " anagundua yuko na kifaa cha kumsaidia mtoto kunywa uji vizuri na kwa utulivu"
Saluti kwako umeua hapo
Katika vitu watu wanajidanganya humu jf ni hilo la kusoma maandishi na kuamini unamjua mtu, utaingia chaka.Nafikiri watu wanapaswa kumfuatulia mtu huku jukwaani kabila ya kuomba namba na kupiga mtongozo.
Pamoja na watu kufake ID, kufake maisha, kuna kitu tuu lazima wanashindwaga kuficha...
Kama wewe ni mchunguri kuna tabia za mtu ukizijua utaweza kupatia ni mtu wa aina..
Ila ndio mpaka sasa ufuatulie hivyo;
Jishaue tu![]()
![]()
Ndo hivo mimi sweetheartTandale sweetheart kama kina amber ruty,ok asante kwa kunifahamisha
Mimi lazima nijikubali sanaGood nimependa ulivyojikubali
Mbona hata mbowe anayo jaman
But your so smartupstairs!!Mwanamke kujishaua eeeh
But your so smartupstairs!!