witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,839
- 47,747
Aminia kamandaUione Ili Iweje hafu jf ni Mtandao wakufahamiana sio kingono

Aminia kamandaUione Ili Iweje hafu jf ni Mtandao wakufahamiana sio kingono

Usilolijua ni saw a na usiku WA Giza loh. Sipendagi ujinga WAwanaume wapumbavu
...wanakutia hasira owo omuka!Ewaaaaaa. Sikufikiria kama una bandika bandua kama hizi nilizoziona leo.Sawa rafiki, wacha niwe mpole!!
Kwani nimekuwaje hadi uniwazie tofauti?
😂😂😂😂😂 heshima yako Wit.😂😂😂😂![]()
...wanakutia hasira owo omuka!
Cariha ananipaga raha mnoo
![]()
...wanakutia hasira owo omuka!
Ndio, picha ndio mnatuchanyia habari sasa!! Si bora vikatuni na vingine kama hivyo?Hahahaaa. Za vikatuni tena?
Hahahaaaa. Anawasuuza nafsi yaani hawacheleweshi.Cariha ananipaga raha mnoo
Hahahaaaa. Ukiona hivyo ujue sijajenga Taifa leo. 😂😂😂😂Salute chief....Leo nakuona sana humu sio kawaida![]()
![]()
Leo humu nimeona mapya kwa watu.Hahahaaaa. Anawasuuza nafsi yaani hawacheleweshi.

Tena zile za moto. 😂😂😂Anawapa![]()
![]()
![]()
Acha tuTena zile za moto.![]()
😂😂😂😂 ili mpate ubuyu eeeee?Leo humu nimeona mapya kwa watu.
Aisee tuchangamke tu kma hivi![]()
![]()
😂😂😂😂Ndio, picha ndio mnatuchanyia habari sasa!! Si bora vikatuni na vingine kama hivyo?
Una maneno makali sana my dear.
Hhhhhili mpate ubuyu eeeee?
mana uzuri wa story kma hizi zikija kuna wengine wakija wanakuja na yao.Hahahaaaaaa,Ewaaaaaa. Sikufikiria kama una bandika bandua kama hizi nilizoziona leo.
Maana tunakutanaga kwenye nyuzi kibao ila haijawahi kuwa kama leo.
Mim lakini hupuuzwa wala silalamiki nachikichia tu.Sio Makali watu wengi be hopnda kuzalilisha wengine huku wao Wachovu Havana mbele wala nyuma.Hujawahi Kutana na mtu pm ukimpuuza anakuja na I'd nyingine anaku attack