Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,557
- 19,107
Hahahaaaaa gym si hata ile ya kukimbia mchakamchaka HajarHahahaaaaa. Nimejikuta nakuelewa tu Sesten nitafanya hivyo.
Ila pia nimecheka hivi mie na gym wapi na wapi jamaani. ππππ
Mkuu skuiz wanaweza kuweka hta picha zao sasa ukija hpo kwenye hizo pic kuna ma apps kibao za filters.Ni bora hata muwe mnaweka vitu vingine hatatu sura ya image ya kondoo, ila mnavyoweka za kina amber rose mnadraw attention zetu na personalization ni kosa tutawapeleka mahakamani
Mkuu mwambie mtu mbaya uone vile utakavyochukiwa hadi uombe kujichimbia hata kma mbaya kweli.Naogopa kumsema mtu kwa sura yake saana naona kama namdhalilisha.
Mfano kama nimekutana na mwanamke humu hata kama nimboovu...akinitumia picha namsifia tena saana.
Hakuna jambo mbaya kama kumwqmbia mtu u mbaya.
Itamuuma.
Nakazia mm sasa hivi kuweka avatar za watu sitaki kabisa nitajiweka mwenyewe tu na hivi ninavyofanana na sura ya baba angu sitaki shida
Mkuu skuiz wanaweza kuweka hta picha zao sasa ukija hpo kwenye hizo pic kuna ma apps kibao za filters.
Wew omba tu utakaekuja kuonana nae asije kua jini kabula mna haya mambo skuiz yamekua ndivyo sivyo.
Mkali ungeuchuna tu, wala ilikuwa haina haja ya kuja kumsema hapa maana maji ukiyavulia nguo lazima uyaoge. Lakini kubwa zaidi hata ukikuta kitu ambacho ni tofauti na mategemeo yako usikimbilie kumletea shombo humu ndani, huwa haipendezi. Kuna kipindi ukija kukua hutawaangalia watu kwa sura zao wala maumbile na utakuja fahamu kwanini nasema hivi....
πππππ hebu tusitirini jamaani.wacha ninyamaze tu mkuu mana nikisema na mim ntaonekana nawaponda.
Huoni najitahid kunyamaza.hebu tusitirini jamaani.
Ndio tushaumbwa hivyo.
Good question
Mzima?
Wa afya.
Hahahaaa. Hilo nalo neno Sesten. Haya tuwage tunafuatana basi kila sehemu kwa kweli. ππππHahahaaaaa gym si hata ile ya kukimbia mchakamchaka Hajar
Hujui huko kwenye michamichaka watu watu "wanatekana" tena Me wanateka Ke na Ke wanateka Meπππ
Mkuu Rrondo hii ndiyo JF bwana. Watu husema wanachotaka kwasababu hawaonekani.Hizi ndio thread pendwa huku MMU na chitchat. Siku moja tu unaweza kukuta ina pages hata 50! Ukisoma maandishi utaona watu wanajidai kumponda mleta mada kwanini kaja kusimulia huku au kwanini anakosoa uumbaji wa Mungu, ila ukisoma katikati ya mistari utaona wengi wanainjoi sana the whole drama na wanatamani huyo 'aliedhalilishwa' hapa atajwe wamjue sasa sijui wakishamjua inasaidia nini.
πππππ haya bana.Huoni najitahid kunyamaza.
Nastiri sana aibu za wenzangu kwa hilo wala msijali.
Ila kiukweli tunapoelekea tuambizaneni ukweli tu.
Huoni najitahid kunyamaza.
Nastiri sana aibu za wenzangu kwa hilo wala msijali.
Ila kiukweli tunapoelekea tuambizaneni ukweli tu.