Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,374
Yule hayati mzee wa butiama aliwaona walivyokuwa na uchu siku nyingii....
akamwambia mamvi we ni mwizi kaa kando,leo mkasahau mkamkaribisha ndani,kawakomba! nani alaumiwe?
Kumcheki Mkwere akamwambia we bado una mambo ya Boys II men yaani baado kabisa,mkasahau mkadhani amekua...leo amerudi jukwaani kuonyesha usanii wake,sijui yule babu akiamka atawaelewa kweli?
mdharau mwiba...
akamwambia mamvi we ni mwizi kaa kando,leo mkasahau mkamkaribisha ndani,kawakomba! nani alaumiwe?
Kumcheki Mkwere akamwambia we bado una mambo ya Boys II men yaani baado kabisa,mkasahau mkadhani amekua...leo amerudi jukwaani kuonyesha usanii wake,sijui yule babu akiamka atawaelewa kweli?
mdharau mwiba...