jamani wanajamii wenzangu kazi tutafute ila tujipange na majungu ya humo ofisini,mtu akitoka kidogo anaanza kupigwa vijembe,alafu wewe mgeni unafikilia mmh na mimi nikitoka kumbe ndio inavyokuwa.sijui dawa ya majungu nini mana watu wanavyo jifanya wanamjua bosi kwa sana na wewe mgeni ukae chonjo.mmh tutafika ivyo ivyo ila tutakuwa tumechoka sana.
Hivi haya majungu na masufulia ni ofisini kwangu tu au kote jamani mana yamezidi?:bange:
Hivi haya majungu na masufulia ni ofisini kwangu tu au kote jamani mana yamezidi?:bange: