Tony Yeyo
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 733
- 567
Habar Zenu
Mwenzunu nimejikuta kwenye wimbi la mawazo Baada ya kuelemewa na majukumu. Baada ya Kupata kibarua nimejikuta napokea simu nyingi kuhusu Matatizo ya kifamilia
Nimejitahidi sana kutatua Matatizo Kwa kadri ya uwezo wangu lakini mambo yanazidi kuwa magumu.
Ukiachana na kuhudumia familia Yangu lakini shida za Ndugu zimekuwa haziishi
Zinapokaribia tarehe za mwisho wa mwezi najikuta sina raha Kabisa maana napigiwa simu nyingi za shida na kuombwa pesa tu
Naombeni mbinu ya kukabiliana na changamoto hizi
Mwenzunu nimejikuta kwenye wimbi la mawazo Baada ya kuelemewa na majukumu. Baada ya Kupata kibarua nimejikuta napokea simu nyingi kuhusu Matatizo ya kifamilia
Nimejitahidi sana kutatua Matatizo Kwa kadri ya uwezo wangu lakini mambo yanazidi kuwa magumu.
Ukiachana na kuhudumia familia Yangu lakini shida za Ndugu zimekuwa haziishi
Zinapokaribia tarehe za mwisho wa mwezi najikuta sina raha Kabisa maana napigiwa simu nyingi za shida na kuombwa pesa tu
Naombeni mbinu ya kukabiliana na changamoto hizi