Dennis Robert Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 4,124
- 6,141
Ukiangalia asilimia kubwa ya wabunge wetu ni tourist nikimaanisha wako kwenye comfort zone kubwa sana na fedha wanazozipigania bungeni zikija jimboni mamlaka nazo sio sawa hata kidogo
Kama nchi kuna haja gani ya kuwa na wakurugenzi mda huo huo kuna wabunge hii inapelekea wabunge wengi kutumia hii nafasi kufanya mambo yao binafsi na sio kuwatumikia wananchi
Minaona ili mbunge awe anawajibika 24/7 ni vizuri wakurugenzi wakaondolewa na nafasi zao au majukumu yao wafanye wabunge
Faida zake ni kama zifuatazo
Usisahau kusupport kazi yangu.
www.jamiiforums.com
Kama nchi kuna haja gani ya kuwa na wakurugenzi mda huo huo kuna wabunge hii inapelekea wabunge wengi kutumia hii nafasi kufanya mambo yao binafsi na sio kuwatumikia wananchi
Minaona ili mbunge awe anawajibika 24/7 ni vizuri wakurugenzi wakaondolewa na nafasi zao au majukumu yao wafanye wabunge
Faida zake ni kama zifuatazo
- Mbunge atakuwepo bungeni mda wote sababu majukumu yote ya mkurugenzi atakuwa anayafanya yeye
- Ile dhana mbunge anachaguliwa sikonge, mpanda na sehemu nyingine na kuja kuishi dar haitakuwepo
- Mbunge atakuwa anapata experience ya kero za watu wa jimboni kwake na itakuwa ni rahis kuwatetea
Usisahau kusupport kazi yangu.
Support hustle zangu mimi Rais mtarajiwa wa Tanzania
Maandalizi na mchakato wa kuwa Rais wa Tanzania yanaendelea at the same time harakati za kutafuta rizki zinaendelea in-short maisha lazima yaendelee JAMANI NAOMBA MNIUNGISHE Historia nzuri ni ile inayoandikwa in an ugly way, and awkward way 👇👇👇👇👇👇👇👇 Kwenye historia ya Tanzania ntakumbukwa kuwa...