Huyo kilaza majukumu yake ni kuomba mwongozo na kutaka wabunge wathibitishe na kupigia debe magamba na mshahara mkubwa, basi! Wananchi wa Ismani kweli mna mbunge!Msameheni bure na darasa la saba lake!
Acha ubaguzi wako huo wa kijinga. Yeye ameuliza kwa sababu hajui lakini wewe unaanza kashfa.Darasa la saba at work, Tunasema siku zote elimu ni ufunguo wa maisha, lakini yeye ana maisha ila elimu imekuwa shida!
Acha ubaguzi wako huo wa kijinga. Yeye ameuliza kwa sababu hajui lakini wewe unaanza kashfa.
Haya wewe mwenye Phd mbona umeshindwa kujibu swali la darasa la saba? Acha ushamba mkuu kwani elimu yako imekuwa ni kuwadharau wengine. Hapa ni kuelimishana. Huu ni ushamba sana.
Wana JF ninaomba mnijuze majukumu ya waziri Lukuvi siyafahamu.Mara nyingi namwona ni mtu wa kuomba mwongozo na kutoa taarifa bungeni.Wadhifa huo una tija yoyote kwa maendeleo ya nchi?