Majukumu ya meya wa jiji

Majukumu ya meya wa jiji

WA MAMNDENII

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2010
Posts
344
Reaction score
58
naomba wana JF mnijuze hasa kazi za meya wa jiji hasa la bongo naona kama yupoyupo tu au ni kuongoza vikao vya madiwani vya kugawana posho tu
 
Meya na madiwani wake wote njaa njaa tu, hakuna la maana lolote zaidi ya majungu na kugawana posho
kwa kwenda mbele!
 
Halafu waswahili sana......toka uhuru Dar haijawahi kuwa na meya asiye mswahili
 
Back
Top Bottom