Majogoo Mpo? Mlima Huu!!!!!!

Majogoo Mpo? Mlima Huu!!!!!!

Ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaa!!Watu wanamadongo aisee duh! Afadhali yetu sisi Chelsea hatufugi kima tunafukuza kocha dakika yeyote akileta uzembe, wacha mtucheke tu kwa hilo lakini lengo letu ni mafanikio.
 
naomba tuheshimiane, heshima ni kitu cha bure, unatuita ss liver fool au nyie ndio ndio mlioendelea kupita vilabu vyote duniani mpaka mna manchester united refaree academy
ndivy watamo wanavyotuita siku hizi, lazima ukubali yaishe
 
Ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaa!!Watu wanamadongo aisee duh! Afadhali yetu sisi Chelsea hatufugi kima tunafukuza kocha dakika yeyote akileta uzembe, wacha mtucheke tu kwa hilo lakini lengo letu ni mafanikio.
yataka moyo ndio football hiyo......sometimes is like ypur mother, sometimes like your STEP MOTHER
 
Back
Top Bottom