misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 13,663
- 9,371
Hahah!! Nacheka kama mazuri,unahisi ile slogan ya kamata fursa ndio inatumika mkuu?Kama ni hivyo, hii ni hatari. Isije ikawa watu wanachangamkia fursa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah!! Nacheka kama mazuri,unahisi ile slogan ya kamata fursa ndio inatumika mkuu?Kama ni hivyo, hii ni hatari. Isije ikawa watu wanachangamkia fursa
lazima....ana vya kuleaSaiv atakua na mawazo sana kuliko hata ndugu wa mgonjwa.
Unahisi utakuwa ugonjwa gani?Mhh...nadhani ni zaidi ya figo maana matibabu ya figo yazidi milioni 600?
Sent using Jamii Forums mobile app
duh!! anajiova dozi vimelea.....Huyo ana UKIMWI uliosababishwa na HIV. Ni kawaida sana ukitumia ARV kwa muda mrefu huwa zinasababisha kugaribika kwa organs. Ndo maana figo zimefeli. Pia inawezekana pamoja na kutumia ARV bado alikuwa anafanya ngono zisizo salama na wanawake tofauti tofauti,hivyo alikuwa anapata re infections.
kesi....!!
Kama wamemgeuza fursa muosha uoshwa ila nimewaza tu ile slogan ya kamatia fursa.Ndio hicho ambacho mimi nimekiona watu wameamua kumgeuza fursa ...dahh mbaya Sana hii ...nadhani wameshahisi kuwa jamaa hatoweza ku survive ...kama ataweza ku survive kweli then anakuja kukuta Kwamba walimdhalilisha kwa kum changia michango ...aise sijui atakuwa na hali gani kifikira
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ugonjwa wetu wa kisasa
Nimefikiria mara kadhaa hilo neno "Tanesco" nimekuja gundua ni umemeDuhh! Anatumia milioni tano kila kukicha kwa ajili ya matibabu. Tumuombee kwa Muumba ili avuke kipindi hiki kigumu katika maisha yake, manake hata Dimpoz alifanikiwa.
Ila huyu jamaa nina wasiwasi na ugonjwa wake, kama sio TANESCO basi atakuwa amepewa sumu
Vp kuhusu NHIF yake..?Million 600. Ipi ambayo amemudu haha hiyo ni pesa yake including michango ya wana ndugu jamaa na marafiki aise .... baada ya kuona kuwa matibabu ya jamaa yana wafilisi wakaona wausukumizie mfupa uliomshinda fisi kwa watanzania ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Doh!! Ndio matibabu 600 million na usheee?Ni ugonjwa wetu wa kisasa
Haha kule yatakiwa uwe unaingia kwa kunyata kinyume na hapo utakuwa unatafuta ugomvi na DSTVYupi uyo mkuu? Maana leo nimeamua kuchapukia uku nisikie udambwi udambwi wa hapa na pale maana kule kwenye siasa changamoto nyingi hahah
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo milioni 600 ukigawa kwa milioni tano za kila siku utakuta zitatosha kwa walau muda wa siku 120. Kwa ndugu zetu wa kihaya hilo usishangae wala kuuliza, wewe toa ili upate thawabu zako za kuhudumia mgonjwa
Itakuwa anahudumiwa ki VIPHizo milioni 600 ukigawa kwa milioni tano za kila siku utakuta zitatosha kwa walau muda wa siku 120. Kwa ndugu zetu wa kihaya hilo usishangae wala kuuliza, wewe toa ili upate thawabu zako za kuhudumia mgonjwa
Figo tunazo zote mbili lakini zina majanga...kama vile hatunaRuge kama anahitaji figo anifate pm tuyajenge.
Anahangaika wakati wauzaji wapo kibao kitaa huku. Atangaze offer watu tusaini kandarasi.
Naomba kuuliza wadau...