Majirani...

Kwenye nyumba za kupanga tena ndio balaa, mnaweza mkawa mmepanga nyumba moja na hamna mtu mwenye time na mwenzake zaidi ya salam tu!!!!! Wengine hata kufahamiana inakuwa issue.
 
Dena Amsi, unaweza kukuta mimi na wewe ni majirani kabisa...but tunafahamiana tu hapa kwenye keyboard!!:ranger::ranger::ranger::ranger::ranger::ranger::ranger:
 
Last edited by a moderator:

unachosema ni kweli kabisa...hata mimi nilivyokua mtoto miaka hiyo ilikua majirani wanakuja kwetu na sisi tunaenda kwao, ilikua haipiti siku mbili umeonana au kusalimiana na jirani zenu na wakati huo hawakua tu majirani bali ni marafiki kabisa..siku hizi ukiniuliza nyumba ya pili anakaa nani hata sijui...watoto zetu sasa hivi ni video games, wii na internet..enzi zetu kulikua hakuna cha internet wala play station...na hii inafanya watoto wa generation ya sasa watakua selfish watakua hawajazoea kuongea na watu ukilinganisha na miaka ya nyuma
 


kwa kweli ilikuwa raha sana....

lakini siku hizi uharibifu nao umeongezeka ndio mana watu wanawakaza watoto kwenda nyumba ya pili kula na kucheza!!!!

Nakumbuka hata mkihamia eneo jipya basi haichukui muda tayari mtazoeana na life itaendelea kwa taratibu zilezile!!!!

SWALI nini kifanyike sasa??!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…