Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
- Thread starter
- #21
Kwenye nyumba za kupanga tena ndio balaa, mnaweza mkawa mmepanga nyumba moja na hamna mtu mwenye time na mwenzake zaidi ya salam tu!!!!! Wengine hata kufahamiana inakuwa issue.ni hatari na aibu huwa naona pia! simjui hata wa pembeni yangu kulia na kushoto maana ni nyumba za kupanga, wanakuja leo baada ya miezi 6 wameondoka wamekuja wengine! jirani mpangaji alijifungua twins last month, nimetoka job twins wangu nao wananitaarifu kuwa wameona barbies, lakini barbies wao wanalia na kunyonya, nikawauliza wapi, wakanijibu dukani! hiyo familia ina kaduka kwa mbele japo wamepanga. nikatafuta vizawadi same evening tukaenda, cha ajabu waliniambia wako hapo wana mwaka wa 3 wamepanga! na wao hawanijui, basi ukawa ni mwanzo wa kujuliana. ila kwa kweli tunakokwenda, sio kabisaaaaaaaaa! watoto wetu watakuja oana ndugu wallah!