Mungu, majirani na members nisaidieni. Msinipe hela bali kazi
Ni miaka 8 tu toka nihitimu chuo, pinch nayopitia si mchezo utadhani nimekaa miaka 20. Naombeni mnishike mkono nitoke kwenye hali hii. NAJIKUTA KAMA SITAIONA KESHO HIVI.
Nalima kwa bidii, private schools nimefundisha. Kwa sasa napambana kupika na kuuza vyakula (mgahawa) lakini..
Nivuteni mwanenu. CHONDE!
Ni miaka 8 tu toka nihitimu chuo, pinch nayopitia si mchezo utadhani nimekaa miaka 20. Naombeni mnishike mkono nitoke kwenye hali hii. NAJIKUTA KAMA SITAIONA KESHO HIVI.
Nalima kwa bidii, private schools nimefundisha. Kwa sasa napambana kupika na kuuza vyakula (mgahawa) lakini..
Nivuteni mwanenu. CHONDE!