Majipu ya wazabuni wanaoidai serekali malipo yasiyoendana na supply husika yasiachwe

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Oct 28, 2012
20,478
24,348
Wapo watu wengi sana wanaoidai serekali yetu fedha nyingi sana ambazo kimsingi MALI iliyokuwa supplied haiendani na FEDHA ambazo zinatakiwa zilipwe na serekali yetu.
Wapo waliosupply kalamu na karatasi tu lakini kalamu hiyo iliandikiwa inathamani ya 2500/-,
Na rim moja ya karatasi ikaandikiwa 15000/-
Tunaiomba serekali yetu kabla ya kulipa zabuni yoyote ifanye tathimini kwanza Juu ya malipo husika.
Lisipoangaliwa vyema wajanja wengi wataibia hapa fedha za walalahoi, tunataka maendeleo ya kweli sasa mungu ametupatia rais tulie muhitaji kwa muda mrefu sana.
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Wapo watu wengi sana wanaoidai serekali yetu fedha nyingi sana ambazo kimsingi MALI iliyokuwa supplied haiendani na FEDHA ambazo zinatakiwa zilipwe na serekali yetu.
Wapo waliosupply kalamu na karatasi tu lakini kalamu hiyo iliandikiwa inathamani ya 2500/-,
Na rim moja ya karatasi ikaandikiwa 15000/-
Tunaiomba serekali yetu kabla ya kulipa zabuni yoyote ifanye tathimini kwanza Juu ya malipo husika.
Lisipoangaliwa vyema wajanja wengi wataibia hapa fedha za walalahoi, tunataka maendeleo ya kweli sasa mungu ametupatia rais tulie muhitaji kwa muda mrefu sana.

Yanaweza kulingana na bajeti nzima ya serikali ya mwaka mmoja; watumbuliwe tu.
 
Wapo watu wengi sana wanaoidai serekali yetu fedha nyingi sana ambazo kimsingi MALI iliyokuwa supplied haiendani na FEDHA ambazo zinatakiwa zilipwe na serekali yetu.
Wapo waliosupply kalamu na karatasi tu lakini kalamu hiyo iliandikiwa inathamani ya 2500/-,
Na rim moja ya karatasi ikaandikiwa 15000/-
Tunaiomba serekali yetu kabla ya kulipa zabuni yoyote ifanye tathimini kwanza Juu ya malipo husika.
Lisipoangaliwa vyema wajanja wengi wataibia hapa fedha za walalahoi, tunataka maendeleo ya kweli sasa mungu ametupatia rais tulie muhitaji kwa muda mrefu sana.

Bora urejee utaratibu wa miaka ya zamani ambapo vifaa vilikuwa vinanunuliwa centrally na kuwekwa bohari ya serikali halafu vinasambazwa tokea hapo kwenda kwenye sehemu husika kama mashule....
 
Bora urejee utaratibu wa miaka ya zamani ambapo vifaa vilikuwa vinanunuliwa centrally na kuwekwa bohari ya serikali halafu vinasambazwa tokea hapo kwenda kwenye sehemu husika kama mashule....
***
haise umepiga mkuki /
#tutaheshimianaTu!
 
Sasa kama mtu amesupply hizo kalamu na karatasi toka mwaka jana mwezi kama huu na hizo hela hajalipwa wala hajui atalipwa lini!!!
Unafkiri kwani asiandike kalamu moja kwa Tsh 2500?
 
Sasa kama mtu amesupply hizo kalamu na karatasi toka mwaka jana mwezi kama huu na hizo hela hajalipwa wala hajui atalipwa lini!!!
Unafkiri kwani asiandike kalamu moja kwa Tsh 2500?
***
hata ipite miaka 20 pen haitaweza fika tshs 2500/-(normal pen)
 
Serikali inachelewa sana kulipa madeni yake ndiyo maana suppliers wake wanaongeza bei ili kufidia usumbufu wanaoupata wakati wa kufuatilia malipo yap.
 
Wapo watu wengi sana wanaoidai serekali yetu fedha nyingi sana ambazo kimsingi MALI iliyokuwa supplied haiendani na FEDHA ambazo zinatakiwa zilipwe na serekali yetu.
Wapo waliosupply kalamu na karatasi tu lakini kalamu hiyo iliandikiwa inathamani ya 2500/-,
Na rim moja ya karatasi ikaandikiwa 15000/-
Tunaiomba serekali yetu kabla ya kulipa zabuni yoyote ifanye tathimini kwanza Juu ya malipo husika.
Lisipoangaliwa vyema wajanja wengi wataibia hapa fedha za walalahoi, tunataka maendeleo ya kweli sasa mungu ametupatia rais tulie muhitaji kwa muda mrefu sana.

Inatakiwa ujue sheria ya manunuzi ya umma ndo uje kupiga kelele zako hapa.
 
Kwakweli kufanya biashara na serikali ni mateso sana. Unaweza maliza miaka mitatu bila kulipwa. Kama mtaji wako ni wa kuungaunga unaweza kufilisiki. Mi nauonga mkono bei hizo kwasababu pesa yao inakaa muda mrefu mikononi mwa serikali na haizunguki. Kama una deni benk linaendelea kukua mpaka faida yote inakuja kuishia kulipa deni la benki. Kama hujui kaa kimya, waulize waliotoa huduma tasisi za serikali watakwambia. Mi nafikiri jipu la kwanza sio bei bali jipu la kwanza ni serikali kutolipa madeni ya watoa huduma kwa muda mrefu sana. Laaa sivyo ili kuondoa adha zote hizi basi serikali ndio ianze kufanya manunuzi kwa cash.
 
Back
Top Bottom