Sijajua kama hii mamlaka iko serious mpaka sasa walitakiwa kujua mapungufu yaliyopo ili kuyarekebisha kuondoa kero zilizo katika zoezi la kupigwa hizi picha,tufike mahali tue wazalendo na tufanye kazi kwa moyo na utii na si kuwinda mahali pa mshahara mkubwa na namna gani utapata mwanya wa kula rushwa na kufanya biashara zako za magendo