Majina yasiyopungua matatu vs majina yasiyozidi matatu, huyu alitaka kusemaje? Je Katiba ya chama haikuvunjwa?

Majina yasiyopungua matatu vs majina yasiyozidi matatu, huyu alitaka kusemaje? Je Katiba ya chama haikuvunjwa?

Majina yasiyopungua matatu maana yake ni kuanzia majina matatu, kuonyesha hajui anachoongea anasema jina moja liko chini ya majina matatu.

Kuna watu wao kila kitu wanasifia na ndiyo wanatamani kuwa viongozi, were fucked.
Halafu Gen Z wa Kenya wakituchamba, tunaanza kulalamika!
Walah ngoja tu tuendelee kuitwa "Kenge" kama vitu vidogo vidogo kama hivi navyo vinatushinda.
Si bora wangepandikizwa hata kina Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah ili kuwashindanisha na mgombea wao ili tuone Katiba ya chama chao imefuatwa?!
 
Majina yasiyopungua matatu maana yake ni kuanzia majina matatu, kuonyesha hajui anachoongea anasema jina moja liko chini ya majina matatu.

Kuna watu wao kila kitu wanasifia na ndiyo wanatamani kuwa viongozi, were fucked.
Eti hawa ndo wamejazana kwenye vyombo vya kufanya maamuzi ya nchi, na ni kutoka humu ndo tunapata pia wawakilishi wetu wanaotuwakilisha kwenye mikataba ya Kimataifa,..
Something must be done to intervene, otherwise we're totally lost.
 
Panazidi kuchangamka
TISS ifanye kazi yake ili viongozi wajinga wajinga kama huyu dada wawe wanakatwa mapema ili kuweka taswira ya nchi yetu safi ndani na nje ya mipaka yetu.
Ni muhimu kuwa na viongozi Wazalendo ambao kwao maslahi ya nchi yanatangulia, halafu ya kwao na familia zao yanafuata.
Nina imani kabisa kwamba TISS wakiamua, hili liko ndani ya uwezo wao
Pascal Mayalla
TumainiEl
 
Ibara ya 103, ibara ndogo ya 12b, majina yasiyopungua matatu.....
Halafu jina moja, liko ndani ya......
I'm totally confused
Usimsikilize huyo yeye mpiga debe tu anaejua jina moja akilikomalia likapita basi mbele ana ulaji wa kutisha ushaelewa yaan huyo ni sawa na wale wapiga debe kwenye daladala, kwa hio asikuumize kichwa issue ni majina matatu yaletwe sio yasiyopungua matatu majina ni matatu kamili
 
TISS ifanye kazi yake ili viongozi wajinga wajinga kama huyu dada wawe wanakatwa mapema ili kuweka taswira ya nchi yetu safi ndani na nje ya mipaka yetu.
Ni muhimu kuwa na viongozi Wazalendo ambao kwao maslahi ya nchi yanatangulia, halafu ya kwao na familia zao yanafuata.
Nina imani kabisa kwamba TISS wakiamua, hili liko ndani yao
Pascal Mayalla
TumainiEl
Huyo ni viti maalum kutoka Mwanza hajachaguliwa na Wananchi
 
Jina ni moja

Majina ni kuanzia mawili.


Sasa jina moja hapo sio majina.

Ndio uhuni tunaouongelea Kila kukicha.
Jina MOJA mfano Sakuminga Chambwene Mbwina

HILO NI JINA MOJA

Majina MATATU mfano

1. Sakuminga Chambered Mbwina
2. Chabulanga Mwenea Mbina
3. Malofe Bwenea Mwinga

HAYO NI MAJINA MATATU

Sasa hilo lihuni toto la Mzee Kimani lipiga debe limekomaa kwamba kwenye majina MATATU kuna jina moja, sawa kuna majina MATATU yaletwe yote MATATU
 
Huyo ni viti maalum kutoka Mwanza hajachaguliwa na Wananchi
Bado wanaweza kutusaidia kuwachuja hata hao viti Maalum ili tupate viongozi Wazalendo Mkuu.
Binafsi naumia sana kuona eti hiki kidada nacho kinakula zaidi ya milioni 18 kwa mwezi ambazo ndani yake kuna kodi yangu!
Iwe mwisho kuendelea kuletewa viongozi vilaza na wenye uchu kama hawa.
Inaumiza sana na hii huchangia kuondoa hata uzalendo miongoni mwa vijana.
 
Jina MOJA mfano Sakuminga Chambwene Mbwina

HILO NI JINA MOJA

Majina MATATU mfano

1. Sakuminga Chambered Mbwina
2. Chabulanga Mwenea Mbina
3. Malofe Bwenea Mwinga

HAYO NI MAJINA MATATU

Sasa hilo lihuni toto la Mzee Kimani lipiga debe limekomaa kwamba kwenye majina MATATU kuna jina moja, sawa kuna majina MATATU yaletwe yote MATATU
Inabidi mchakato urudiwe upya.
Hatutaki kuendelea kuongozwa na viongozi waliopatikana kwa njia za "hila" kuanzia kwenye chama hadi kwenye sanduku la Kura za Umma.
Sidhani kama itakuwa dhambi wakaenda kujifunza CHADEMA jinsi walivyofanya uchaguzi huru na haki na kuwapata viongozi wake kwa njia zisizo na makando kando.
 
Back
Top Bottom