Kijijini kwetu Measkron!!
mie napita nitakuja kufafanua username yangu baadae kidogo
TUHESHIMIANE Good Guy!
Wana jf habari zenyu bana, hebu tujuzane nini maana ya username yako na ilikuwaje ukajiita hivyo,mfano-kiziwi,kongosho,mbumbumbu -maranyingi wana jf huwakosoa kwausername zao mfano kiziwi huambiwa mawazo yake yamefanana na username yake mi huwa nakuwa hoi sana
naomba
mimi username yangu niliipenda sababu wamoyo wangu anapenda sana product za hiyo kampuni
nijuze nijuze tujuzane !!!!!!!!
Mie nawatambua Wazinzi wote humu na ndio maana najiita MTAMBUZI................
In short hata wewe nishakutambua..................LOL
Good Guy Jina langu mbona lipo poaaa.
Niliitwa mtoto wa Mbwa na fisadi mmoja, nikaona isiwe tabu nikaiweka kwa Lugha ya Malkia
@Kaizer bana,Hahahahahaha
ndio maana mimi ni UPOPO