Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,561
- 19,059
Hebu wale wa Unguja watutajie nao vituo vya huko visiwani. Mi naskia kuna vituo kama vile Mambo Msiige, Kiduka Baraza, Mwembe Maringo, Mfereji wa mchambawima, Mwanaukome nk
nimemisi ARACHUGA AKA CHUGANIAN AU CHUGA REPUBLIC AU A AU AREngosheratoni
Naaz
Fire
Kanisani
AICC hospitali
Impala
Engosheratoni
Naaz
Fire
Kanisani
AICC hospitali
Impala
Innalillah Wainnah Illahrajuun... unamkumbuka Athumani MagongooChugga kuna majina ya watu yanachekesha balaa...
Jumanyokaa
Asumanimagongoo
Jumajogoryoo
N. K
Mkuu Arusha niliwahi kuishi nikiwa mdogo, sasa haya majina nilipata kuyajua kipindi hicho. Inna Lilahi wainna ilayhi rajiuun....Innalillah Wainnah Illahrajuun... unamkumbuka Athumani Magongoo
Mwanza moja.Kolomije mojaaa!
Buhongwa
Mkolani
Mbege
Password
Nyegezi
Kalifonia
Kijiweni
Tema
Nyegezi kona
Isen
Kwa Mchina
Kanisani
Butimba kona
Mkuyuni
Chakechake
Voil
Pespi
Tanesco
Posta.
Umeruka Njia ya Njoro, Chanel, mahakama, canada32. Majengo
33. Tanapa
34. Uwanja wa Ndege
35. Bar mpya
36. Ngaramtoni ya Chini
37. Sub square
38. Barabara ya A to Z
39. Kisongo
40. Culture
41. Miseyeki
42. Waya
43. Cmc
44. Oasisi meserani
45. Duka bovu
kweli ulikuwa unakaa Kaloleni, kwasababu huyo Magongoo ndio maskani yake.Mkuu Arusha niliwahi kuishi nikiwa mdogo, sasa haya majina nilipata kuyajua kipindi hicho. Inna Lilahi wainna ilayhi rajiuun....
Daaaah hadi raha kutamka..nilikaa arusha now niko dar ila napaelew sana....[HASHTAG]#kituo[/HASHTAG] cha KIMANDOLU...sangisi
Ngulelo
philips
kimandolu
meru
sanawari
florida
kona
kijenge
kikatiti
kwa molel
Nakatizaga huko sana mkuuJose usinambie unapajua uswaz mbez dampo...
Ngoja nikirudi mkuu...nipo Huku Dar kwa mishe fulani hivimkuu kumbe upo Arusha!fanya makeke tukutane angalau tuchome kuku wa kienyeji mwenye mbogamboga pale narok au capital 14 au triple A!nicheki inbox nikupe namba ya simu
A City A town AR...karibu mkuunimemisi ARACHUGA AKA CHUGANIAN AU CHUGA REPUBLIC AU A AU AR