Entim
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 4,021
- 2,253
Mhe. Waziri wa Mambo ya Ndani, tunaomba sana uunde timu maalum ya kuwachunguza matrafiki wa vituo vya Tengeru na Usa River, mkoani Arusha. Wamezidi kuonea madereva na kuwabambikiza makosa yasiokuwa ya maana, ukikataa kutoa rushwa wanakuzungusha hovyo, na kukutisha kuwa wana uwezo wa kukagua gari na kukupata na makosa zaidi ya 40. Wiki hii nimeyashuhudia matukio ya kupokea rushwa na majina na namba za hao matrafiki ninayo.
Kesho nitatuma MAJINA NA NAMBA ZAO kwa DHL kwenda kwa Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Mkurugenzi Mkuu wa TISS, na IGP.
Hawa matrafiki wataifanya wananchi wsichukie serikali yao.
Kesho nitatuma MAJINA NA NAMBA ZAO kwa DHL kwenda kwa Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Mkurugenzi Mkuu wa TISS, na IGP.
Hawa matrafiki wataifanya wananchi wsichukie serikali yao.