jerry monny
Member
- Dec 6, 2010
- 94
- 0
mkuu mulbadaw ulikatiza miaka gani?
nilipoa hapo kwenye miaka ya 91 mpaka 93 nilikua naenda nakaa kama wiki nakurudi arusha ndio palikua home,jamaa flani walikua wahasibu hapo,walikua wanaitwa james kashaga,kamote,na mwingine abdalah alikua manager wa timu ya mulbadow ndio walikua wanapeleka huko,mimi nilikua dogo nipf standard seven meru primary arusha.asante ndugu.