Majina ya bar

Leo Tupo Hapa Pub ..............Iko Mwananyamala Mwinjuma
 
Iko moja pale Mikumi "Internet Bar". hakuna internet hapo, ni vinywaji na nyama choma.
 

Kigoma moja! umenikumbusha mbali kweli.
 
Private pub ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,tabata segerea
 
Mtakuja bar,Dodoma.
Chako ni chako,Dodoma.
 
Sinza White Inn Area kuna Bar ilianzishwa ikaitwa SHIKAMOO PUB akaja mpinzani akaanzisha pembeni yake tu MARHABAA PUB! Wadau wote wakahamia MARHABAA.
 
Walevi utawajua tu kwenye hii sredi
 
Neno haliwi na maana hadi ulipe maana.
 
Reactions: tz1
full doze pub, ipo mabibo karibu na nit.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…