Je hili Mkuu eliluiham?Actually it is a very good concept kutumia neno EL kabla au baada ya jina la kikabila. Ingawa majina ya namna hiyo yanaweza kuku identify kirahisi na yanatumiwa na watu wengi. Hii ni kwasababu EL is a Hebrew word meaning God. So kutumia original Hebrew word for God kwenye jina ni jambo jema. Kwa mfano Elikunda. Kunaweza pia kuwa na jina la Aikayahu. Of course hili la Aikayahu sijawahi kusikia mtu anaeitwa hivyo. Maana yake ni asante YAHWEH. Watu wanaoitwa majina ya namna hiyo ni vizuri wawe na maadili mazuri.
Lina uhusiano na elohim (ebrania)Je hili Mkuu eliluiham?
Ndugu yangu, jina langu la asili halitamkiki wala kuandikika kiswahiliWewe jina lako la Asili ni nani?
Mmhh!Ndugu yangu, jina langu la asili halitamkiki wala kuandikika kiswahili
Ninong'oneze la kwakoMmhh!
Kwani majina ya kichaga hayo?Sijaona Atuntufye, Mwakawangwale....
Langu ni la kawaida sana na haliwezi kushangazaNinong'oneze la kwako
haya bwanaLangu ni la kawaida sana na haliwezi kushangaza
Mm hata cjui bby wangu acha nimuulize baba maana maza alishatangulia mbele za haki. Au unipe jina wewe nitakubali tuNleterewa Nganengo na jje's naomba mje mniambie majina yenu ya asili
Niko hapo aiseeeMkabahati
Ndewina
Shoshe
Sinare
Kessy
Marandu
Woiso
Oisso
Olomi
Kyara
Materu
Temu
Kitilia
Shoo
Mringi
Mamboni
Ngoli
Ngowi
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisa
Anande
Iche
Moiso(ke)Matemu. ke