Majina na Uzuri

Majina na Uzuri

blackgold engineer

Senior Member
Joined
Sep 8, 2013
Posts
107
Reaction score
70
Katika tafiti zangu nimegundua asilimia kubwa ya uzuri wa mwanamke unaendana na jina alilopewa utotoni,,kifupi sijawahi kuona nancy mbaya,,au irene mbaya,,au michel mbaya,,au sabrina mbaya,,au nasra mbaya,,au zufra mbaya,ila kuna majina nisameheni huwezi mtu kumuuita mwanahamisi au sikujua halafu umkute mzuri,,ushauri kwenu wazazi wachagulieni watoto wenu majina mazuri maana ndio yanashape urembo wa sura zao..
 
Kashinde je? Naona unataja majina yalokuja na meli tu.
Ina maana kabla hayajafika hao hakukuwa na wazuri? Au african species zilibadilika na kuanza kuwa nzuri baada ya majina kuja na meli?

Una hatari.
 
haaaaaaaaaahaaaaaaaaaahaaaaaaaa u made my evening jamani.
Kashinde je? Naona unataja majina yalokuja na meli tu.
Ina maana kabla hayajafika hao hakukuwa na wazuri? Au african species zilibadilika na kuanza kuwa nzuri baada ya majina kuja na meli?

Una hatari.
 
kashinde je? Naona unataja majina yalokuja na meli tu.
Ina maana kabla hayajafika hao hakukuwa na wazuri? Au african species zilibadilika na kuanza kuwa nzuri baada ya majina kuja na meli?

Una hatari.
kabla ya haya majina ya meli uzuri wa mababuzetu ulikua sawa ,,ndio maana walikua wanajali tabia tu
 
Kuhusu uzuri Sina uhakika

Ila nnavyojua tabia mtoto inatokana na jina alilopewa


Si vizuri kumpa mtoto jina kama mashaka, mashauzi, matatizo n.k

Itaneni majina mazuri jamanyy
 
Wapo wazuri saana ila utashangaa majina yao mabaya sana ,ila kwangu jina halina nafasi ,kuna majina ya kizungu ukiyafasiri kwa kishwahili unaweza kushangaa ,Mr Smith ,mfua vyuma au madini ,sasa hivi mwanao unaweza kumwita Mfua vyuma ? Ila Smith ni jina zuri tu.
 
Some how kuna relation mkuu, mim nikiwakumbuka akina Agatha, Catherine dah! moyo wangu unashindwa hata kuhema
 
I used to believe that too. Hadi nikawa na wish nije kuwa na mke mwenye majina kati ya haya.…Angela, Hellen, Everline, Caroline,Marry na Jackline. Kabla Kongosho hajasema yamekuja na meli basi pia Ng'washi, Nalugwa, Kokuleta, Naghenjwa, Nanzia, Niendiwe na Nakundwa.
 
Last edited by a moderator:
Hakuna kitu kama hicho kuna mtu anaitwa kalimangonga lakini ni mikonoflan(handsome) na pia kuna carolina wa kawaida tu au haumjui ki**sha
 
Katika tafiti zangu nimegundua asilimia kubwa ya uzuri wa mwanamke unaendana na jina alilopewa utotoni,,kifupi sijawahi kuona nancy mbaya,,au irene mbaya,,au michel mbaya,,au sabrina mbaya,,au nasra mbaya,,au zufra mbaya,ila kuna majina nisameheni huwezi mtu kumuuita mwanahamisi au sikujua halafu umkute mzuri,,ushauri kwenu wazazi wachagulieni watoto wenu majina mazuri maana ndio yanashape urembo wa sura zao..

hahahaha ur so intelligent ni kweli kabisa naomba niongeza majina mengine kuna chausiku, chaupele,shida, chunguchungu, samahanini jamani kama kuna mtu ana majina kama haya
 
Katika tafiti zangu nimegundua asilimia kubwa ya uzuri wa mwanamke unaendana na jina alilopewa utotoni,,kifupi sijawahi kuona nancy mbaya,,au irene mbaya,,au michel mbaya,,au sabrina mbaya,,au nasra mbaya,,au zufra mbaya,ila kuna majina nisameheni huwezi mtu kumuuita mwanahamisi au sikujua halafu umkute mzuri,,ushauri kwenu wazazi wachagulieni watoto wenu majina mazuri maana ndio yanashape urembo wa sura zao..

Kwani wewe ungepewa jina la mwanahamisi na wazazi wako ungelikataa? au unataka mtu anaetumia hilo jina afanyeje, apewe lako?
 
Kisa mnatumia ID zenu feki ndio mnajiona wajanjaa kujadili majina ya watu, ili tujue ninyi mlipewa majina mazuri?
huo utafiti umeufanya wapi?
lengo lilikuwa nini?
Sample space ilikuwa na watu wangapi?
medhods gani zilitumika?
benefits?
 
^^
Kitendawili cha maana ya uzuri hakijateguliwa
^^
 
Kwahiyo ukimpa mtoto jina zuri ndio anakuwa mzuri? Dah! You might have div 6!
 
Kisa mnatumia ID zenu feki ndio mnajiona wajanjaa kujadili majina ya watu, ili tujue ninyi mlipewa majina mazuri?
huo utafiti umeufanya wapi?
lengo lilikuwa nini?
Sample space ilikuwa na watu wangapi?
medhods gani zilitumika?
benefits?

kam daun plishhhhhh, are you mwanahamis nini!!!!!!
 
Tamara

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom