Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,107
- 173,838
hahahahahahahahahahha,<br />
<br />
mwanagu kana miaka 3 ni evance, kwaio imekula kwangu?
hahahahahahahahahahha,<br />
<br />
mwanagu kana miaka 3 ni evance, kwaio imekula kwangu?
hahahahahhahahaah, kweli tupu<br />
<br />
wapole wa kijinga, hawajui kukataa hao.
Wezi sanaVipi kina Lema?
Na majina kama
JAMES
ERICK
GERARD
ROBERT
GEORGE HUWA INAKUAJE?
Kama sio wajinga tu, pia wengi huwa ni victims wa kudanganywa kitoto na wanaume matokeo yake huachwa solemba mfano kuna mmoja mwanangu alimchanyata af alipomchoka akanipasia na mimi sema nilipotezea nkaona uboya!kuna wa2 wenye mjina ya IRENE ukwel weng wao wanakuwa wazur ila wajinga ile mbaya cjui inakuwaje hapa
hawa huwa hawadumu kwenye ndoa na ni wajeuri sanaaaaaa
hahahahahahahahah, mi ninae hellen mpole huyo sa sijajua wanaovizia sukari yangu anadili nao vipi, huenda ukawa moja ya wahanga! Asante kwa feedback aisee hahahahahahahahaNo 1 hapana hao n wajeuri mno
Wanakuwaga visu sana na wananata sana wakishajua wao ni hatari kwa uzuri, wataalam sana wa vibuti na wapo very selective!wakina sabrina je
Hawanaga mvuto sana pia, wengi flat screen au vimodoDoreen hawa ni malaya sana
1.Jackson waongeaji sana na wajanja wa kutafuta, iwe pesa au papuchiVipi na majina ya kina jackson,christian,sharon na winnie
Af sio wazuri
Hahahaaaaa yan acha kanansumbua kweli kwelihahahahahahahahah, mi ninae hellen mpole huyo sa sijajua wanaovizia sukari yangu anadili nao vipi, huenda ukawa moja ya wahanga! Asante kwa feedback aisee hahahahahahahaha
This is real.!Yuda - Waongo
Samson - Wapole
Mateo, Matthew, Mathias - Viwembe
Sarah - ving'ang'anizi
Lameck - Wana adabu sana
Rose - wanajiona
Joshua - Wakarimu, watanashati
Yahaya: ni waongo sana.
Zitto: ni wasaliti sana.
Duu kwa kweli wakina Neema nimewagonga sana sijawahi kunyimwa na Neema,kina Esther wengi ni wazuri wanene kiasi ila si wachoyo,ukinyimwa na Esther kajichunguze kabisaNalipenda sana hilo jina la Neema na wote ambao nawajua mimi ni wacheshi....